Wana JF
Irene Uwoya alikuwa akizimia kila akizunduka mpaka kuzua maswali na mshangao kwa waombolezaji walio kuwa wakiomboleza ana kwa ana na wengine waliokuwa wakifuatilia kwenye runinga.Angalau Wema Sepetu zimia yake inaeleweka kwamba alikuwa anajigi jigi na marehemu.Hebu niambie we ungekuwa mume wa IU ungeichukuliaje hii hali?
Irene Uwoya alikuwa akizimia kila akizunduka mpaka kuzua maswali na mshangao kwa waombolezaji walio kuwa wakiomboleza ana kwa ana na wengine waliokuwa wakifuatilia kwenye runinga.Angalau Wema Sepetu zimia yake inaeleweka kwamba alikuwa anajigi jigi na marehemu.Hebu niambie we ungekuwa mume wa IU ungeichukuliaje hii hali?