mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,363
Hee he. H baba leo amefunguka ktk stesheni moja ya redio, na kusema wakati yeye na irene uwoya walivokuwa wapenzi, alikuwa anamgonga uwoya mpaka kupelekea kupata mimba. H.BABA alifunguka na kusema alikuwa akimuingilia uwoya kinyume na maumbile(tigo) na alifanya kosa kumtangazia kwa watu kuwa anamla tigo ndipo irene uwoya akakasirika na kwenda kuitoa mimba ya H.baba, na H.baba baada ya mtoto wake kuuliwa akaamua kuachana na uwoya, alidai pia uwoya ndo alimtaka amfanyie kitendo hiko cha back door.