hii kesi ya tumbili 61 juzijuzi tu munaijuwa ??Mkuu waarabu ndio zaidi wenye kufanya haya mambo ya kikatili kwa wanyama wetu kuliko hata wazungu. Wazungu wao waliyafanya hayo sana kipindi Tanganyika wanaitawala.
Na wewe umelipwa kiasi gani kuuweka uzi huu
Na vijiji vilivyo karibu na sehemu wanayowinda tembo,Kuna member mmoja hapa aliwahi kuleta takwimu za sensa ya tembo kwenye hifadhi moja ya taifa, kwa kweli inaonesha baada ya miaka kumi au Kumi na tano ijayo hatutakuwa na tembo Tanzania.
Acha watu wale maana hatuoni hatua zinazochukuliwa na serikali.Na vijiji vilivyo karibu na sehemu wanayowinda tembo,
Kila siku nyama ni ndovu usubuhi nchana na jioni
tamu balaa
supu nyekunduu
nyama ina nyuzinyuzi
Huu ni unyama ma kutisha... Kwanini wawindaji waliopewa leseni wasisindikizwe na maafisa wanyama pori ili kuhakikisha wanyama waliolipiwa ndio wanaowindwa na ukatili haufanyiki?? kwanza sijui kama kuna sheria ya kumruhusu mtoto mdogo wa umri huo kuwinda???
Kwa bahati nzuri kwa kiasi ninalifahamu sula hili hapa kuna mgogo wa haki ya uwindaji katiaka eneo husika kati kampuni moja ya kimarekani na kampuni ya greenmile.waziri alitoa haki ya kampuni ya kimarekani kuwinda kuwinda bila kufuta haki hiyo kwa kampuni ya greenmile ambayo ilishinda zabuni ya kuendesha uwindaji.sasa greenmile imeshinda na kurudishiwa haki hiyo.ndio maana kelele zimeanza.na nxio maana nimekuuliza umelipwa kiasigani.Sio kila mtu analipwa, wapo watanzania wenye uchungu na rasilimali za Taifa hili.
Hilo suala la uwindaji wa kitalii wengi wetu hatuliewi vizuri. Kampuni za uwindaji zinalipia kuua wanyama katika maeneo waliyopewa na inaruhusiwa kisheria. Tatizo la kukiuka baadhi ya taratibu anayepaswa kubeba lawama ni PH (Professional Hunter) ambaye huambatana na wawindaji ambao anapaswa kuwa-guide. Hakuna tatizo kama ambavyo inajaribu kuelezwa na baadhi yetu. Mgogoro wa kampuni hiyo ya waarabu na ile ya wamarekani ulipaliliwa na aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii Lazaro Nyalandu ambaye inadaiwa alikuwa anatumiwa na wamarekani kuwakomoa waarabu ambao hulipa pesa nyingi zaidi na husaidia zaidi jamii katika maeneo yanayozunguka eneo lao la uwindaji. It's not a big deal!
Kwa bahati nzuri kwa kiasi ninalifahamu sula hili hapa kuna mgogo wa haki ya uwindaji katiaka eneo husika kati kampuni moja ya kimarekani na kampuni ya greenmile.waziri alitoa haki ya kampuni ya kimarekani kuwinda kuwinda bila kufuta haki hiyo kwa kampuni ya greenmile ambayo ilishinda zabuni ya kuendesha uwindaji.sasa greenmile imeshinda na kurudishiwa haki hiyo.ndio maana kelele zimeanza.na nxio maana nimekuuliza umelipwa kiasigani.
Hilo la kumbughudhi mtoto wa zebra limeniuma sana, la pili ni la kugonga antellope kwa gari na tatu kumkimbiza na kumtesa nyati, hadi mwili wote umeota vipele...poor tanzania
Hizi picha na video ni za mwaka juzi ndio ikapelekea wakafungiwa sasa sina hakika kama wamerudi tena ama la! Ila kwa hizo pich sio za sasa.....ila mamlaka ifanyie kazi
Hawa waarabu HAWAFANYI hivyo bila ya sheria. Wanalipia malipo ya kuwinda kila aina ya mnyama. Sheria yetu ya nchi inaruhusu, kuna kitu kinaitwa ANIMAL CULING ( kupunguza idadi ya wanyama kwa kuwawinda) ndio hapo serekali inatoa vibali na kuruhusu uwindaji.
Hebu angalia hiyo link hapo juu utawaona wamarekani nao wanawinda. Idadi kubwa ya wauwaji wanyama wetu wanaokuja kujinufaisha na uuwaji wa wanyama ni waz unguarded, na wamekuwa wakifanya hivyo zaidi ya miaka 100 na hakuna anayewasema, lakini akifanya mtu mwingine tunawasakama.
Ni bora tukalipinga hili jambo kwa wote wanao kuja kuuwa wanyama wetu kama starehe. Kama ni upunguzaji nasimama waruhusiwe watanzania wenye shida ya kitoweo.
Hapo inadhihirisha umekula chochote huna hoja yeyote ya maana.na tena ungekuwa mkweli kufungiwa kwa mwaka mmoja ni adhabu tosha isitoshe kulikuwa na prof hunters na watu wa maliasili.hivi wewe ndio mwenyekujua sana sheria za maliasili kuliko hào walkokuwepo.Inashangaza sana mkuu halafu kuna watu wanawatetea.