Huyo mtt amekekaririshwa hakuna anachojua,siasa za ccm hazi saidii nchi yetu,sana sana ni kutengeneza majizi ya kupora rasilimali zetu,na majizi kuja kulindana..
Kwa kinachoitwa ccm chipukizi kwangu mm naona ni watu kutafutia watoto wao maisha.. Na kuja kulinda maslah ya familia zao,badala wazazi wakazane kuwapa watoto wako ujuzi na maarifa yakupambana wanaona wawapeleke kwenye siasa, Maana kwa sasa siasa za ccm si tena za kuitetea nchi bali ni kujijazia matumbo yao..
Ccm sio tena chama cha siasa ni sehem ya watu kutafuta msisha na namna ya kuiba ..
Ccm hii ni kiongozi gani amekua upande wa wananchi?
Bungeni kote wamewekana kulinda maslah yao na familia zao..
Kwa kuuliza tu bunge letu la Tanzania lina kazi gani,?
Zaidi ya kubariki kila linaloletwa mezani pao..
Uongozi/hutoka kwa Mungu..
Uongozi ni karama na kipawa.. Hao chipukizi wote nilio waona ni watoto wa wakubwa na watu mashuhuri,hii haileti taswira nzur kwa mustakabali wa nchi yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.