Kwa nini watu wakiwa University wakaambiwa kusoma list ya vitabu kadhaa, mithani ukiletwa wanapasua Grade A.
Lakini watu walewale wakiwa makazini, wanakuwa wavivu kusoma documents wakisema ni ndefu na ikibidi hawaelewi kabisa.
Je, ni dalili kwamba akili ya binadamu inapungua uwezo mtu unapoanza kazi?
Lakini watu walewale wakiwa makazini, wanakuwa wavivu kusoma documents wakisema ni ndefu na ikibidi hawaelewi kabisa.
Je, ni dalili kwamba akili ya binadamu inapungua uwezo mtu unapoanza kazi?