Uwezo wa kuongea na nafsi ya marehemu au mtu aliye mbali bila uchawi

Attachments

  • Photo0878ajgb.jpg
    Photo0878ajgb.jpg
    251.6 KB · Views: 849
  • Mkuu Pasco popote ulipo kuna mada hapa yahitaji ufafanuzi kidogo
  • Karibu
mi sio mganga wala mlokole ni mtu wa kawaida ila ninao uwezo wa kuongea na mtu aliyekufa kabla hajazikwa na ni jambo la kawaida sana

ni kawaida kwa wale wenye jicho la tatu.

Kama wengine hawasikii au hawaoni unavyoongea naye, basi si kila m2 atadai kuwa anao huo uwezo? Ua wewe unawezaje kuwathibitishia watu?

babu alivyo kufa nikamshika mkono tukazungumza mambo mengi sana kuhusu ukoo wetu na ulimwengu kaniambia mambo mengi sana pamoja na mali alizo zificha za thamani ya milioni 200
 
Last edited by a moderator:
kwenye shamba lake kuna kama shimo lililo jengewa na ukiingia unaweza ketembea humo humo mita kadhaa

Mr/ms ( bila kuathiri jinsia yako)/whoever unayejiita , nimesoma/tumesoma maelezo ya upande mmoja na tunashawishika kuyaamini japo hatukukupima utimamu wa akili yako wakati ukileta claim ya kwanza, na kwa kuwa sheria ya ushahidi ya karne nyinyi zilizopita na ambayo imeendelea kufanyiwa amendment ili kukidhi kizazi tulichopo zinatamka wazi ili ushahidi uwe validi ni lazima pande mbili zihusike kutoa utetezi. sasa basi ikiwa utashindwa kuwaleta hapa jamvini marehemu wasiopungua watano ambao umefanikiwa kufanya nao mahojiano wakiwa wafu (na wakakiri mbele yetu) basi kiungwana kabisa uombe radhi wana jamvi kwa kuleta mikanganyiko fikirishi isiyo exist!
 
mi sio mganga wala mlokole ni mtu wa kawaida ila ninao uwezo wa kuongea na mtu aliyekufa kabla hajazikwa na ni jambo la kawaida sana

...so what...? watu wooote walio hai tuwaache tukasikilize maiti...?eboo..! ngoja nikapige stori na waifu kwanza...
 
Mr/ms ( bila kuathiri jinsia yako)/whoever unayejiita , nimesoma/tumesoma maelezo ya upande mmoja na tunashawishika kuyaamini japo hatukukupima utimamu wa akili yako wakati ukileta claim ya kwanza, na kwa kuwa sheria ya ushahidi ya karne nyinyi zilizopita na ambayo imeendelea kufanyiwa amendment ili kukidhi kizazi tulichopo zinatamka wazi ili ushahidi uwe validi ni lazima pande mbili zihusike kutoa utetezi. sasa basi ikiwa utashindwa kuwaleta hapa jamvini marehemu wasiopungua watano ambao umefanikiwa kufanya nao mahojiano wakiwa wafu (na wakakiri mbele yetu) basi kiungwana kabisa uombe radhi wana jamvi kwa kuleta mikanganyiko fikirishi isiyo exist!

mkuu horsehoe umeongea point nzuri sikupingi tatizo mioyo ya watu ni migumu sanaa huu uwezo ni wa kawaida kwetu nataka sasa niweze kuongea na ndege na wanyama
 
mkuu horsehoe umeongea point nzuri sikupingi tatizo mioyo ya watu ni migumu sanaa huu uwezo ni wa kawaida kwetu nataka sasa niweze kuongea na ndege na wanyama

Objection! Maliza kwanza shauri la kwanza kwa kuwaleta marehemu ulioongea nao...
Baada ya hapo kama majibu yao tutayakubali pasi kuacha shaka basi hili la kuongea na ndege na wanyama tutakupa as compliment na huna sababu ya kwenda porini kutafuta ndege hao maana kijijini kwetu ndezi na nguchiro wamejaa tele naweza kukuletea kiwango utakachoona kinafaa bila kuichosha mahakama!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom