Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Ukweli inauma na ni muda mrefu nimekuwa nawazia jambo hili kuwa MATUMIZI YA VIFURUSHI VYA KING'AMUZI KUWA SAWA NA VYA SIMU?
Nimekuwa nafikiria hivi hasa kutokana na TANESCO wanavoupiga mwingi siku hizi hakuna cha kiangazi wala masika.
Kifurushi cha simu kinaisha pindi tu utumiapo aidha kwa kutumia sauti maana ya kupiga au kutuma ujumbe, kama hufanyi hivo kifurushi chako hakitumiki.
Kifurushi cha TV kinakwisha licha ya kutokuwasha hiyo TV kwa maana usiku na mchana au umeme haupo (mgao) mzigo unasoma tu.
Ingesaidia pakawa na Chama cha kuwatetea wenye ving'amuzi hapa nchini vilevile.
Nawasilisha na inauma kwa kweli.
Nimekuwa nafikiria hivi hasa kutokana na TANESCO wanavoupiga mwingi siku hizi hakuna cha kiangazi wala masika.
Kifurushi cha simu kinaisha pindi tu utumiapo aidha kwa kutumia sauti maana ya kupiga au kutuma ujumbe, kama hufanyi hivo kifurushi chako hakitumiki.
Kifurushi cha TV kinakwisha licha ya kutokuwasha hiyo TV kwa maana usiku na mchana au umeme haupo (mgao) mzigo unasoma tu.
Ingesaidia pakawa na Chama cha kuwatetea wenye ving'amuzi hapa nchini vilevile.
Nawasilisha na inauma kwa kweli.