Naomba kuuliza kama kuna mahali ambapo naweza kusoma maendeleo ya uwekezaji, biashara, uzalishaji, wa hapa tanzania katika lugha nyepesi na endelevu.
mfano
1. majina ya makampuni na miaka ilioanza kuwekeza tanzania na size zake (size ya mtaji) na jinsi inavyoendelea kukua au kufa, kuuzwa, kumerge nk
2. majina ya watu wenye investments kubwa Tanzania eg big 50
3. majina ya makampuni 50 yenye kulipa kodi zaidi tanzania kwa kadiri miaka invyoendelea
nk nk
mfano
1. majina ya makampuni na miaka ilioanza kuwekeza tanzania na size zake (size ya mtaji) na jinsi inavyoendelea kukua au kufa, kuuzwa, kumerge nk
2. majina ya watu wenye investments kubwa Tanzania eg big 50
3. majina ya makampuni 50 yenye kulipa kodi zaidi tanzania kwa kadiri miaka invyoendelea
nk nk