Uwanja wa taifa kuandikwa "Tanzania National Main Stadium" ni sahihi katika sarufi(grammar) ya kiingereza?

View attachment 830679
View attachment 853105
Shikamoo wakubwa zangu wote.

Jana nilipoenda kutazama tamasha la Simba day kuna issue hii ndogo nili notice naomba ufafanuzi wa wataalamu wa lugha kwa maana sote tunafahamu fika ya kuwa lugha hii si lugha mama kwa wachina waliotusaidia kutengeneza uwanja wala sisi watanzania ila eneo kama main stadium ni pahala ambapo tunapokea wageni wa kutoka mataifa mbalimbali.

Kwa uelewa wangu wa lugha hii ya kiingereza naona maandishi katika entrance ya uwanja yalipaswa kuandikwa "Main Stadium" ama "National Stadium" badala ya ilivyo sasa ambapo lango kuu la kuingia uwanja wa taifa linamaandishi yanayosomeka kama "Tanzania National Main Stadium". Au labda yanatumika interchangeably?? I stand to be corrected. Nipo tayari kusahihishwa.

Kwanini shirika la viwango TBS lisingeigwa TNBS (Tanzania National Bureau Of Standard)

Wataalamu wa kiingereza naombeni msaada wenu kwa maana inawezekana ni mimi ndiye nisiyejua lakini walioandika wapo sahihi.

OUR MOTTO
========
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USITUMIKE VIBAYA KUICHAFUA NCHI YAKO.

Secretariat ya ajira, kwanini interview za kazi zisifanyike kwa kanda (Zones)? Kwanini wote tujazane Dar?
Tatizo anayejenga kwakuwa ni engineer anadhani anajua pia Kiingereza hataki kuonana na wataalam wa lugha wabadilishane mawazo waandike kitu chenye mantiki murua. Mtu akiwa professor anajifungia anafanya maamuzi ya taasisi pekee yake unaona viroja vingi...kwenye taasisi. Taasisi ya Tanzania.
 
Ni makosa, nafikiri mambo makubwa kama haya inabidi wahusika wawe wanatafuta ushauri kwa wanaojua. Inatosha kuandikwa "National Stadium" basi. Hata uwanja wa Ndege JNIA kupitia Uzi huu Mashauri J iondolewe ibaki NIA mbona inaeleweka sana Na ni rahisi. Maana muasisi wa Taifa jina linalo julikana ni Nyerere Na si vinginevyo.
 
Mtu akiona hilo bango atakuwa anajua yupo TZ na bango lipo Tanzania, kwahiyo neno 'Tanzania' hapo sio lazima umwambie. Vinginevyo na soko la Buguruni nalo lingeitwa 'Soko la Tanzania Buguruni' au stendi ya Ubungo ingeitwa TUBT! UDSM ingeitwa TUDSM! Unaona! Ikibidi basi waandike
'Main Arena Dar es Salaam' au MAD! kulaalek!
 
View attachment 830679
View attachment 853105
Shikamoo wakubwa zangu wote.

Jana nilipoenda kutazama tamasha la Simba day kuna issue hii ndogo nili notice naomba ufafanuzi wa wataalamu wa lugha kwa maana sote tunafahamu fika ya kuwa lugha hii si lugha mama kwa wachina waliotusaidia kutengeneza uwanja wala sisi watanzania ila eneo kama main stadium ni pahala ambapo tunapokea wageni wa kutoka mataifa mbalimbali.

Kwa uelewa wangu wa lugha hii ya kiingereza naona maandishi katika entrance ya uwanja yalipaswa kuandikwa "Main Stadium" ama "National Stadium" badala ya ilivyo sasa ambapo lango kuu la kuingia uwanja wa taifa linamaandishi yanayosomeka kama "Tanzania National Main Stadium". Au labda yanatumika interchangeably?? I stand to be corrected. Nipo tayari kusahihishwa.

Kwanini shirika la viwango TBS lisingeigwa TNBS (Tanzania National Bureau Of Standard)

Wataalamu wa kiingereza naombeni msaada wenu kwa maana inawezekana ni mimi ndiye nisiyejua lakini walioandika wapo sahihi.

OUR MOTTO
========
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USITUMIKE VIBAYA KUICHAFUA NCHI YAKO.

Secretariat ya ajira, kwanini interview za kazi zisifanyike kwa kanda (Zones)? Kwanini wote tujazane Dar?
Mkuu wapo sahihi,hapo imezingatiwa historia ya hivyo viwanja.Kimsingi huo uwanja ambao tulikuwa tunatumia ni uwanja wa Jeshi na wala si wa kiraia(maarufu shamba la bibi).Au unaitwa uwanja wa Uhuru kwasababu ndipo tulipopokelea Uhuru kutoka kwa muingereza 1961.
(UHURU STADIUM)
Sasa huu wa mkapa ndiyo uwanja wa kiraia na ndiyo maana unaitwa 'Uwanja mkuu wa kitaifa Tanazania yaani kwa kinyakyusa "Tanzania National Main Stadium"
Kwaiyo siku ukisikia CDF Mabeyo anataka uwanja wake usishangae.Labda naomba uniletee jina la kiingereza la uwanja wa zamani ili tuelimishane zaidi.
 
Ni matumizi tu bila utaalamu sana.Neno "Tanzania" na "national" ni marudio. Neno "main" na "national" ni marudio ya mantiki inayofanana. Wangechagua kwa mfano: 1. National Stadium (Uwanja wa Taifa) 2. Tanzania Stadium. Ingawa hili lisingenoga sana.
Hongera sana. National Stadium ndio maana safi kabisa. Tanzania hapo hsihitajik sana kwa vile inafahamika!!
 
Acheni uzuzu nyie Tanzania National Main Stadium ikimaanisha uwanja Mkuu wa Taifa imetokana na kuwepo tena pembeni tu kwa uwanja mwingine wa zamani wa Taifa, pale “Shamba la Bibi” ambao kwa kiingereza huitwa Tanzania National Stadium. Kwahiyo hakuna kosa lolote katika jina la uwanja mpya wa Taifa.! Over!!
Bila shaka We ndo uliyechora. Umekosea sana mkuu, inshort umetuharibia.
 
I wish it could be called (Tanzania) National Stadium. Or (Tanzania) Main Stadium. Brackets stand for an option but The first name would sound more better
 
Back
Top Bottom