Mimi huwa nashangaa sana wanapotumia wasanii pesa na nguvu nyingi kuvuta watu halafu ikifika wakati wa kuongea hakuna cha maana wanachokisemanimeamini ndani ya ccm hakuna kiongozi mzalendo kamwe. yaani sendeka ameamua kuligawa taifa letu kwa misingi ya ukabila eti kisa uchaguzi? kuanzia leo nimempuuza sana sendeka....mungu aepushie mbali...
dah nafwatilia star TV now watu wakiambiwa ccm hoye wananyoosha vidole viwili kwa maan ya CHADEMA in sheeeedah
Uwanjani wa mashujaa watu kibao; shamra shamra za kufa mtu.
Sijaamini macho yangu. Mchana ukawa usiku magufuri; mosha kama kawaida.
View attachment 295727
View attachment 295728View attachment 295729
Kama ni za kweli haya, make hata za jana za uwanja wa shekh Amri zilikua tofauti
star tv zao tofauti na hali halisi tofauti
jamani moshi in wasomi hata wangeongea had I udende Hanna kitu hapawazushi wa chadema siku hizi wamekonnda baada ya kugundua nyomi sio ishu maana magufuli sasa anapata watu wengi kuliko lowassa
nimeamini ndani ya ccm hakuna kiongozi mzalendo kamwe. yaani sendeka ameamua kuligawa taifa letu kwa misingi ya ukabila eti kisa uchaguzi? kuanzia leo nimempuuza sana sendeka....mungu aepushie mbali...
Kweli kabisa. Halafu hizo picha wanazikata wa ufundi mkubwa sana/tofauti na inavyoonekana kwenye matangazo ya moja kwa moja
wasomi tunaamini kuwa majaribio ni sayansi ni mabadiliko ni maendeleoSasa hakuna ubishi Rais wa 5 wa JMT ni Mhe. Dr. JPM
Kaskazini wameweka signature ya mwisho.
Mungu Ibariki TZ
Queen Esther
Kura YAKO sio zetu. Umeandika mwenyewe kwa nafsi yako.Sasa hiyo ndio sera gani ya mtu anayejiita Msomi? Hahaha...majanga haya. KURA ZETU NI KWA EDWARD LOWASSA TU.
Kura YAKO sio zetu. Umeandika mwenyewe kwa nafsi yako.
Haa ha ha Evelyn hivi na wewe unaamini kuwa ilikuwa tofauti?subiri kimbunga cha Magufuli asubuhi ya 26/10/2015.Ndipo utakapojua kumbe mlikuwa mnatiana moyo bure tu humu, Lowassa is going nowhere, Magufuli is your next president, there is nothing you can do about that.