Mgamba+++ wikiliki ni chanzo cha habari na ukipata lazima utafute balance na kuwpa nafasi wengine mfano Hosea na Us embassy kupata uhakika... Ethics ktk online media inakua na tatizo
Zitto, trust ni tatizo sana ktk jamii yetu, kuna ripoti kwamba 78pc ya Watanzania hawaaminiani na DSM ni 80pc na kwa DSM 9 out of 10 hawaaminiani... Mara ingine uzushi kabisa naandikwa uongo... Nadhani Watanzania wanapenda zaidi habari za uzushi.... Naamini sana mediÀ zetu... Nadhani ni vyema wakapata nafunzo zaidi waandishi wetu
Zitto: Siyo kwamba siamiani vyombo vya habari, naviamini sana na mara nyingi nimekuwa nikipewa nafasi kubwa, lakini kuna wakati nazushiwa, inawezekana Watanzania wanapenda sana habari za uzushi na hilo naweza kulisemea, lakini nimeamua kutumia new media kwa kuwa nawafikia wananchi kwa muda mfupi zaidi na kwa haraka.
Mgamba (Mhariri Guardian): am Addicted to social media, namaliza muda wangu mwingi sana kwenye kompyuta nikisoma, kuiandika na kuchangia baadhi ya mijadala kwenye facebook, twitter, blog na maeneo mengine ya mtandao huo wa kompyuta
Zitto: Vijijini electronics wanapata haraka, twitter na new media unaweza kupata popote kwa kutumia mobile na baadae itafika wakati hadi vijijini wataanza kutweet
Zitto... Bada ya kuweka ktk tweeter nimepata maoni na taarifa nyingi kutoka kwa wataalamu kuhusu ukwepaji kodi na hii inasaidi sana kuuliza maswali TRA na hii ni kupata taarifa na inajenga trust maana ni moja kwa moja ni Zitto
Maamuzi mazito... Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa Habari hajaonekana... Zitto anapewa jukumu la kuwa mgeni kukabidhi vyeti na baadae mgeni rasmi akifika atatoa hotuba
Mgeni rasmi, Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, ambaye alikuwa akitarajiwa kufika kwenye kongamano hili la wadau wa vyombo vya habari lililoandaliwa na Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF) hadi sasa hajafika na imeamuliwa na uongozi wa TMF kuwa Zitto Kabwe ambaye amewasili ndiye anachukua baadhi ya majukumu ya mgeni rasmi. Tuendelee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.