Ilikuwa ni kizaazaa jana baada ya uvumi kuenea tena kuwa mabomu yatalipuka tena,lakini kwa bahati nzuri JW jana usiku wakakanusha kuwa hakuna mabom yatakayolipuka na wananchi watulie kwenye nyumba zao!!Kaazi kweli kweli!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.