Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,941
- 6,856
Unawaonea tu hao makabwela.Hivi Tanzania kumeshaanza kuwa na chaguzi huru?Huyo dogo kama ana mwongozo wa baba yake basi ataukwaa tu uenyekiti whether makabwela watapiga kura or not.Kikwete akiwaambia hao UVCCM mtoto wake apitishwe unadhani kuna sisimizi atatia fyoko?
Hata uchaguzi ukiwa huru, watamchagua. Tumezoea mno kunyenyekea wale tunaoona wametuzidi. Inabidi tubadilike kama tunataka mabadiliko. Kutegemea mtu anayefaidika na hali iliyopo ndiyo alete mabadiliko ni kuota ndoto za Ali Nacha!
Amandla......