El Roi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 263
- 502
Kuna chapisho langu Moja niliwahi kuhoji kwa Nini vijana wa CCM ni washari na Wana ujasiri uliopitiliza ( over confidence).
Kwa sababu ya yanayoendelea chini ya kapeti naomba kushauri ngazi za juu za CCM kuchunguza mienendo ya vijana wao, maana it is too much now.
Nimesema ngazi za juu kwa sababu, nataka kupata ushawishi kwamba ngazi za chini na hasa kuanzia wilaya, kushuka chini Hawa ndiyo waratibu wa mambo mabaya ambao hawa vijana wanafanya.
Hapa nyuma kidogo, Chadema walikuwa na maandamano yao. Of course, kama chama na kwa sababu ni siasa, ilibidi wafanye publicity. Waliweka bendera zao mahali mahali na vipeperushi.
Huwezi amini, kulikuwa na operation ya makusudi kabisa ya vijana wa CCM kuondoa matangazo na hata kushusha na kuondoka na bendera na vipeperushi, Tena wengine wanafanya hayo usiku wa manane na wakiwa na magari kibao.
Hata bila kuwagusa polisi (maana pia najiuliza huwa hawanusu uharifu au ?) Ni siasa gani hizi ambazo,Zina element zote za uharifu?
Kwa Nini kuchana bendera ya mwenzako, mtanzania mwenzako, ambaye chama chake kina fanya kazi zake kisheria?
Hivi kukatokea malipizi (reciprocity) kwa vyama vingine nao kulipiza kisasi , je hatuoni kwamba tutakuwa tunaunda magenge ya kisiasa ya uharifu?
Ushauri wangu, capacity na uwezo ulio ngazi za juu za CCM ushuke huku chini basi Ili tuone siasa safi na za kistaarabu.
Inashangaza vijana wa CCM, kujitwisha jukumu la kutetea chama chao vyovyoye hata kwa gharama ya fujo na kupiga watu wasiowaunga mkono.
Haki ya kupiga wenzao na kuwapora vitu inatoka wapi?
Na najiuliza kwa Nini vyombo vya Dola vinaacha uharifu unaenea kwa jina la kuogopa CCM? Come on ,which country is this where political hooliganism is tolerated?
CCM jingeeni vijana wenu uwezo wa kufanya siasa za masuala, na siyo siasa za nguvu na misuli ambayo itakuja baadae kujenga kisasi kwa wanaoonewa!
Tumejisifu mara nyingi kama nchi ambayo ilipata uhuru wake pasipo kumwaga damu (vita). Kwangu Mimi nashawishika kuamini kwamba hii ni misingi iliyowekwa mapema, yaani siasa za ushawishi na masuala ( politics of persuasion and issues).
Mbona hatujengi Sasa siasa zetu juu ya huo msingi? Why beating other people, in the name of converting them to follow you?
Kwa Nini hatufanyi siasa za hoja?
Nawashauri Tena vijana wa CCM waangalie na kujiepusha na ulevi wa chama chao kuwa madarakani.
Nimesema mara nyingi, "absolute power corrupts absolutely", tusiache nchi hii ambayo Rais wetu ana tu disciple juu ya 4R's. Ielekee mahali pasipo sahihi.
CCM youth wingers, manner up please!
Kwa sababu ya yanayoendelea chini ya kapeti naomba kushauri ngazi za juu za CCM kuchunguza mienendo ya vijana wao, maana it is too much now.
Nimesema ngazi za juu kwa sababu, nataka kupata ushawishi kwamba ngazi za chini na hasa kuanzia wilaya, kushuka chini Hawa ndiyo waratibu wa mambo mabaya ambao hawa vijana wanafanya.
Hapa nyuma kidogo, Chadema walikuwa na maandamano yao. Of course, kama chama na kwa sababu ni siasa, ilibidi wafanye publicity. Waliweka bendera zao mahali mahali na vipeperushi.
Huwezi amini, kulikuwa na operation ya makusudi kabisa ya vijana wa CCM kuondoa matangazo na hata kushusha na kuondoka na bendera na vipeperushi, Tena wengine wanafanya hayo usiku wa manane na wakiwa na magari kibao.
Hata bila kuwagusa polisi (maana pia najiuliza huwa hawanusu uharifu au ?) Ni siasa gani hizi ambazo,Zina element zote za uharifu?
Kwa Nini kuchana bendera ya mwenzako, mtanzania mwenzako, ambaye chama chake kina fanya kazi zake kisheria?
Hivi kukatokea malipizi (reciprocity) kwa vyama vingine nao kulipiza kisasi , je hatuoni kwamba tutakuwa tunaunda magenge ya kisiasa ya uharifu?
Ushauri wangu, capacity na uwezo ulio ngazi za juu za CCM ushuke huku chini basi Ili tuone siasa safi na za kistaarabu.
Inashangaza vijana wa CCM, kujitwisha jukumu la kutetea chama chao vyovyoye hata kwa gharama ya fujo na kupiga watu wasiowaunga mkono.
Haki ya kupiga wenzao na kuwapora vitu inatoka wapi?
Na najiuliza kwa Nini vyombo vya Dola vinaacha uharifu unaenea kwa jina la kuogopa CCM? Come on ,which country is this where political hooliganism is tolerated?
CCM jingeeni vijana wenu uwezo wa kufanya siasa za masuala, na siyo siasa za nguvu na misuli ambayo itakuja baadae kujenga kisasi kwa wanaoonewa!
Tumejisifu mara nyingi kama nchi ambayo ilipata uhuru wake pasipo kumwaga damu (vita). Kwangu Mimi nashawishika kuamini kwamba hii ni misingi iliyowekwa mapema, yaani siasa za ushawishi na masuala ( politics of persuasion and issues).
Mbona hatujengi Sasa siasa zetu juu ya huo msingi? Why beating other people, in the name of converting them to follow you?
Kwa Nini hatufanyi siasa za hoja?
Nawashauri Tena vijana wa CCM waangalie na kujiepusha na ulevi wa chama chao kuwa madarakani.
Nimesema mara nyingi, "absolute power corrupts absolutely", tusiache nchi hii ambayo Rais wetu ana tu disciple juu ya 4R's. Ielekee mahali pasipo sahihi.
CCM youth wingers, manner up please!