OSCAR ELIA
Member
- Oct 16, 2011
- 62
- 10
nimeona kamanda ccm kwishaaaaaaa, rushwa huko ndo imezaliwa
Hali hii inatishia wananchi kuendelea kukosa imani na ccm,msajili wa vyama vya siasa hapa hayupo ndio maana hasemi kitu,subiri chama chochote cha upinzani wafanye fojo utasikia mamneno yake.Wakati wa ccm kutawala jamani umekwisha wananchi tulione hilo.