kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
Lowasa ni zaidi ya kimbunga.
Lowasa ni kiboko ya chadema.
Lowasa ni zaidi ya kimbunga.
Lowasa ni kiboko ya CCM.
#Lowassa4Presidency2015 .
Lowasa ni zaidi ya kimbunga.
Lowasa ni kiboko ya chadema.
kifoo,kifoo,
kifo hakina huruma.
Kulikuwa na c.c.m lakini kifo kamchukua.
Kifoo kifo we! Kifo kwenu wapi?
This is funny,
Unapinga watu kutoa matamko huku wewe ukitumia njia hiyo hiyo kutoa matamko?
Kama Makonda amekiuka kanuni,kwani wewe usipeleke kwenye vikao vya chama?Wewe umefuata katiba ipi iliyokuruhusu kumshutumu Makonda na Malecela hadharani?
Je ukiambiwa na wewe umuombe msamaha Mzee Malecela utaona umeonewa?
Yaani kada wa muda Mrefu wa UVCCM ndiyo anaweza kweli kuja hadharani kwa hoja dhaifu na za aibu namna hii?Hii ndiyo hazina ya CCM? Kweli hii chama hakiwezi kuunda serikali bila mawaziri mizigo na in the near future tutarajie the worst.
Unasema makonda kadanganya,je ukiulizwa ni lini Lowassa alistaafu U-waziri mkuu utatujibu kwa weledi na kutuondolea mashaka juu ya kauli na dhamira yako?
-Hivi,hili Tamko ni lako Binafsi kama mwenyekiti wa hilo tawi au la taasisi unayowakilisha?
Sijui kama una uhakika wa unachokisema. Kauli kama hizi zinahitaji research.Tatizo Mzee Malecela anaamini watanzania wa sasa wanamsikiliza. Angefanya utafiti kidogo angeshangaa sio watu watu wengi hawamsikilizi lakini hawajui yeye ni nani?!
This is funny,
Unapinga watu kutoa matamko huku wewe ukitumia njia hiyo hiyo kutoa matamko?
Kama Makonda amekiuka kanuni,kwani wewe usipeleke kwenye vikao vya chama?Wewe umefuata katiba ipi iliyokuruhusu kumshutumu Makonda na Malecela hadharani?
Je ukiambiwa na wewe umuombe msamaha Mzee Malecela utaona umeonewa?
Yaani kada wa muda Mrefu wa UVCCM ndiyo anaweza kweli kuja hadharani kwa hoja dhaifu na za aibu namna hii?Hii ndiyo hazina ya CCM? Kweli hii chama hakiwezi kuunda serikali bila mawaziri mizigo na in the near future tutarajie the worst.
Unasema makonda kadanganya,je ukiulizwa ni lini Lowassa alistaafu U-waziri mkuu utatujibu kwa weledi na kutuondolea mashaka juu ya kauli na dhamira yako?
-Hivi,hili Tamko ni lako Binafsi kama mwenyekiti wa hilo tawi au la taasisi unayowakilisha?
CCM kama mna jeuri mfukuzeni EL kama chadema walivyofanya kwa msaliti. Zitto