Habari hizi zimetangzwa na TBC1 saa 7:00 mchana leo sikuwa na NET on Phone
pia wametanagaza kuwa watuhumiwa wa richmond wamejititea kwenye kikao na maamuzi yatakuwa ya CC
Walimuhoji reporter wao kwa simu.
Mapya ,tutaendelea kuelezana hapa
Hawawezi kuandamana kwa wakati huu kama wanataka waharibu dili la CCM na polisi kusingizia Al-shabab wajaribu kuandamana waone moto utakavyokuja waka?