We ndo hujaelewa.Hamjaelewa ila mnajibu.
Hapo Wahusika wanaotajwa ni CMG kwenda kulipoti hilo tukio.
Na atauliza kwa RPC wa Kinondoni kama hilo tukio limeripotiwa.
Na kama Ruge hajaliripoti tukio hapa kutakua na walakini.
UVAMIZI CLOUDS,KAMISHNA SIRRO AZUNGUMZA.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema suala la uvamizi wa kituo cha Clouds Tv wahusika wanatakiwa kuripoti tukio hilo Polisi haraka.Amesema atafuatilia kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Suzan Kaganda kama tayari limeripotiwa kwa hatua zaidi.[HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]
We utanufaika nini hasa kama akishtakiwa?Hapa Sirro anataka kuja na Blaah blaah zake za kumsafisha Makonda, kuwa ule haukuwa uvamizi.
Kakojoe ulaleHuna lolote ujualo, mengi yalitabiliwa na hakuna lililotokea. Mmehamishia uvamizi tume ndo polisi.