Wikiliki
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 528
- 139
Wanajamii forum leo katika taarifa ya habari ya itv umoja wa chama cha magamba(ccm)baadhi yao wanaaojita viongozi wa kata za Arusha mjini na wajumbe wa wilaya wamefanya mkutano na kutangaza hawamtambui mwenyekiti wao na mwenyekiti wamkoa maana ni mawakala wa mafisadi na kuwataka lowasa,rostam namzee wa visenti chenge kuondolewa kwenye chama maana ni mafisadi.