Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
mara nyingi uume kusinyaa ni matokeo ya kupiga punyeto kwa muda mrefu, haiwezi kurudi tena hiyo, hicho sasa ni kilema kama vilema vingine, ila cha muhimu ni kujihamini kama unaweza majambozi na kweli utaweza lakini baada ya tendo tu inasinyaa tena na kuwa ndogo mno