hapo kwenye purple nimecheka ghafla mpaka hapa ofisini watu wakanishangaa.....
Same here...
hapo kwenye purple nimecheka ghafla mpaka hapa ofisini watu wakanishangaa.....
Thank Mr R. Unajua saa ingine huwezi kukwepa majaribu... mke wangu ni mzuri kuliko hata huyu mdada... ila she is acting strange... naamini ni upepo tu utapita... kana mwezi wa pili sasa ofisini... kuna vijana wenzake hapa lakini hajishughulishi nao. Ila kukamega siwezi kabisa bora nitafute kazi sehemu ingine.
Wanaume acheni kuendekeza udhaifu wenu.
Aiseee... ni mzuri balaaa asikuambie mtu. Nikizungusha kiti nakutana na mgongo wake.
Anavaa kimini...ananukia vizuri... blauzi yake inabana matiti yake makubwa kiasi kama yanatokea kwa juu... ni chocolate colour.. anapaka mafuta yaani mapaja yanameremetaaaa..
Mbaya zaidi madam bosi amemleta department moja na mimi hivyo kila kitu kikimtatiza kidogo tu anazunguka na kiti alafua anakiendesha mpaka pembeni yangu...imagine jamani anasogea karibu kabisa ananigusa na mapaja yake alafu wakati namwonyesha kitu kwenye monitor anakua kama analean..lalakwa kwa mbele hivi, hivyo ananigusa na manyonyo yake malaini, alafu anaongelea masikioni mwangu.
Nafikiri anaelewa ananitesa maana kila akifanya hivyo huwa natoka jasho alafu nahisi atakua anasikia moyo wangu unavyodunda kwanguvu. Eti lunch mpaka twende naye.. nikiagiza ofisini na yeye anaagiza..nikinyanyuka kama ni lunch time ananiwai nisubiri twende wote.....katika maisha yangu ya ndoa sijawai kupata mtego mbaya kama huu.
Eee mola nisaidie.
Nakuelewa mkuu Sarikoki, majaribu ofisini ni Mengi hasa kwa hawa mabinti. Pia kuna tatizo moja ambalo wakati mwingine sie tuliooa tunakumbana nalo. Unakuta mke unae tena mrembo tu sana ila kila akifika home amechoka mbaya sababu ya kazi na foleni, ukiomba mamboz anakuambia ngoja watoto walale. Wakishalala unakuta nae anakoroma coz of uchovu. Hapo siku imetoka!. Inapita wiki nzima hujagusa kitu!! Unambembeleza lakini wapi! sana sana atakuambia ngoja Jumamosi au Jumapili. Isitoshe, wanawake wengine ni low libido kwa hiyo hawapendi kufanya mamboz!! Sasa katika hali hiyo, utakuta wanaume wanaangukia nyumba ndogo ya kupoozea ashki, utalaumu wanaume kweli?