Uturuki wanyama wanaishi kwa raha

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
3,997
9,591
Wenzetu wana tamaduni zao za kuwaheshimu wanyama haijalishi ni mnyama wa aina gani japo kuwa nchi ya kiislamu ila inawapenda wanyama kama mbwa na wanazingatiwa kabisa.

Suala la paka na njiwa kule wanapendwa sana na wanajitawala kweli kweli yani paka wa mitaani wana uthubutu wa kukuribisha.

Sio tu paka na mbwa mpaka bata maji wakitaka kuvuka barabara polisi usimama kuwalinda, kuhusu wanyama wengine hapa uturuki wanaheshimu mpaka zebra za barabara na mataa.

Mliofika Uturuki mnafahamu ili
 
Huku mbwa au paka popote atakapoonekana ni adui wa binadamu, ni jiwe liko wapi anawashwa kimoja cha kimtoa wenge.
Hii mentality ya kupiga wanayama hata bila kosa sijui nani katufundisha, mbwa mtaani hana amani muda wote full kukimbia kimbia tu maana atakaposinama mijamaa inaokota mawe
 
ve
Huku mbwa au paka popote atakapoonekana ni adui wa binadamu, ni jiwe liko wapi anawashwa kimoja cha kimtoa wenge.
Hii mentality ya kupiga wanayama hata bila kosa sijui nani katufundisha, mbwa mtaani hana amani muda wote full kukimbia kimbia tu maana atakaposinama mijamaa inaokota mawe
very sad, Waafrika , ngozi nyeusi laana
 
Wenzetu wana tamaduni zao za kuwaheshimu wanyama haijalishi ni mnyama wa aina gani japo kuwa nchi ya kiislamu ila inawapenda wanyama kama mbwa na wanazingatiwa kabisa.

Suala la paka na njiwa kule wanapendwa sana na wanajitawala kweli kweli yani paka wa mitaani wana uthubutu wa kukuribisha.

Sio tu paka na mbwa mpaka bata maji wakitaka kuvuka barabara polisi usimama kuwalinda, kuhusu wanyama wengine hapa uturuki wanaheshimu mpaka zebra za barabara na mataa.

Mliofika Uturuki mnafahamu ili
Aah mbona mbuzi wa dar wanajua kuwa wavuke kweney zebra. Kuna video nimeona ya ajali ya bodabdoa kaanguka kwenye mtaro watu wamejaa wanatazama maiti huku mbuzi wakiwa wamejumuika na watazamaji nao wakishuhudia maiti ya bodaboda na wala hakuna anayewazingua.
Mbuzi wa dar si mbuzi wale watakuwa wana tu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom