Utunzaji wa vyakula kwenye friji

KWANZA USAFI
hifadhi vitu vyako vikiwa safi na jokofu liwe safi pia,kwenye mbogamboga hifadhi zikiwa safi na kavu yani umezifuta maji baada ya kuosha

PILI
kwenye nyama osha nyama kuondoa damu na katakata kwe kiwango cha matumizi ya siku kisha tenga kwenye mifuko au kontena na hifadhi kwenye jokofu epuka kuchanganya nyama nyekundu na nyeupe pamoja

washa jokofu 24hrs au masaa 14 kwa siku
 
Kwamba sado imalize mwaka dada
Itategemea na matumizi yako....kama upo peke ako sado nyingi sana, halafu nyanya ukiisha ichemsha hivo inakua kama nyanya ya kopo/pakti inatumika kidogo mnooo tofauti na ikiwa tunda bichi.

Kuna kipindi nilinunua kiroba cha kg 25 msimu wa nyanya, kiroba elf 8 nikachemsha nikahifadhi ilikaa mwaka na miezi 2
 
Itategemea na natumizi yako....kama upo peke ako sado nyingi sana, halafu nyanya ukiisha ichemsha hivo inakua kama nyanya ya kopo/pakti inatumika kidogo mnooo tofauti na ikiwa tunda bichi.

Kuna kipindi nilinunua kiroba cha kg 25 msimu wa nyanya, kiroba elf 8 nikachemsha nikahifadhi ilikaa mwaka na miezi 2
unapo chemsha unaichemsha yenye pekee au kuna vitu vingne unatia? Ebu tupe somo kidogo hapo tujaribu
 
Back
Top Bottom