Utunzaji wa vyakula kwenye friji

Kama mnyama amechinjwa kisawasawa, nyama yake inakuwa haina damu (inakuwa imechuruzika yote). Na kama mnyama amechunwa bila kugusa sehemu chafu, nyama yake ipo safi haitakiwi kuoshwa na inakuwa tayari kwa kupikwa/kuchomwa au kuliwa ikiwa mbichi (kuna wanaokula nyama mbichi). Kuosha kunapunguza ladha.

Ila nyama inayochinjwa katika mazingira yasiyo masafi na kukatiwa kwenye gogo jeusi/chafu, yafaa ioshwe.

Hata mchele uliokobolewa katika mazingira masafi, yafaa kupepetwa na kuondoa pumba tu, na upikwe bila kuosha.

Na vyakula vingi vyenye maganda, ukiishaondoa ganda, kilichopo ndani hakitakiwi kuoshwa kama hakijachafuliwa.
 
Itategemea na natumizi yako....kama upo peke ako sado nyingi sana, halafu nyanya ukiisha ichemsha hivo inakua kama nyanya ya kopo/pakti inatumika kidogo mnooo tofauti na ikiwa tunda bichi.

Kuna kipindi nilinunua kiroba cha kg 25 msimu wa nyanya, kiroba elf 8 nikachemsha nikahifadhi ilikaa mwaka na miezi 2
Wakati wa matumizi unafanyeje sasa maana imeganda.
 
Nlisaga kiroba kile cha kg 25, ulikuaga msimu wa nyanya.....roba zima elf 8 tu.
Siku nyingine huwa nasaga sado 1 au 2 zinakaa mwezi +
unachokizungumza upo sawa..shida ni elimu hili unalolizungumza nakumbuka nilisoma darasa la 9 miaka ya nyuma kidogo kwenye somo la kilimo

tena nakumbuka tulisoma kwa vitendo hatua kwa hatua jinsi ya kusindika mazao ya hortculture upande wa mbogamboga na matunda

sijui kwa sasa shule zinafundisha nini licha ya kua na tehama
 
unachokizungumza upo sawa..shida ni elimu hili unalolizungumza nakumbuka nilisoma darasa la 9 miaka ya nyuma kidogo kwenye somo la kilimo

tena nakumbuka tulisoma kwa vitendo hatua kwa hatua jinsi ya kusindika mazao ya hortculture upande wa mbogamboga na matunda

sijui kwa sasa shule zinafundisha nini licha ya kua na tehama
Darasa la 9? Shkamoo braza....😁

Shuleni siku hizi kumedoda
 
Itategemea na matumizi yako....kama upo peke ako sado nyingi sana, halafu nyanya ukiisha ichemsha hivo inakua kama nyanya ya kopo/pakti inatumika kidogo mnooo tofauti na ikiwa tunda bichi.

Kuna kipindi nilinunua kiroba cha kg 25 msimu wa nyanya, kiroba elf 8 nikachemsha nikahifadhi ilikaa mwaka na miezi 2
Ukiw pekee yako gharama zinapungua, kimbembe sisi sasa nyanya hizo zimetoboa saana ni mwezi, lakini hapo ni mwendo wa wiki 3 tu mzigo hakuna.
 
Darasa la 9? Shkamoo braza....😁

Shuleni siku hizi kumedoda
unatakakuninyima nini 😂

shule kudoda nafikiri aina ya walimu..nafikiri ni wakati sasa walimu wapewe mafunzo kwa awamu nje ya nchi wakafungue vichwa wako nyuma sana si utani hasa kwa hawa wangazi za chini tena kwa hii rasimu ya mtala mpya. fikiria kijana wa kidato cha sita hajui hata kulima tuta la mboga au hata kufunga bomba ajabu kabisa eti kijana wa huyohuyo anaita fundi wa kutega king'amuzi kwa kweli huko shule wanazalisha mabomu ya ubishi wa simba na yanga na baadha yao wamegeuka mtambo wa kuchakata daraja sifuri
 
unatakakuninyima nini 😂

shule kudoda nafikiri aina ya walimu..nafikiri ni wakati sasa walimu wapewe mafunzo kwa awamu nje ya nchi wakafungue vichwa wako nyuma sana si utani hasa kwa hawa wangazi za chini tena kwa hii rasimu ya mtala mpya. fikiria kijana wa kidato cha sita hajui hata kulima tuta la mboga au hata kufunga bomba ajabu kabisa eti kijana wa huyohuyo anaita fundi wa kutega king'amuzi kwa kweli huko shule wanazalisha mabomu ya ubishi wa simba na yanga na baadha yao wamegeuka mtambo wa kuchakata daraja sifuri
Ukiachana na walimu shida kuu ni "siasa ndani ya elimu" hii ndo chanzo cha vyote

Si bora form 6 ambae hajui kutengeneza tuta, kuna form 2 hajui kuandika jina lake
 
Itategemea na matumizi yako....kama upo peke ako sado nyingi sana, halafu nyanya ukiisha ichemsha hivo inakua kama nyanya ya kopo/pakti inatumika kidogo mnooo tofauti na ikiwa tunda bichi.

Kuna kipindi nilinunua kiroba cha kg 25 msimu wa nyanya, kiroba elf 8 nikachemsha nikahifadhi ilikaa mwaka na miezi 2
Nyie ndio wanawake wa kuweka ndani, mwanamke unajua hesabu na bajeti hadi raha.
 
Back
Top Bottom