stranger man
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 420
- 524
utumishi wametoa majina ya zile post za HR 101 na maauditer pitia www,ajira.go.tz kila la kheri mliopata
Hongera sana chuo kikuu mzumbe kwa kuonesha ubabe ktk soko la ajira ktk fani za fedha uhasibu na sayansi ya uongozi
wale wapondaji nadhani mnajionea
Hongera sana chuo kikuu mzumbe kwa kuonesha ubabe ktk soko la ajira ktk fani za fedha uhasibu na sayansi ya uongozi
wale wapondaji nadhani mnajionea
Mkuu kwahiyo wale woote waliotwa kazini kwa hizo kada wanatoka hicho chuo tajwa?
Econometrician# ha ha haaaaa.....yaani umenifanya nicheke sana, huyu jamaa kweli anazingua analeta mashindano ya Vyuo, anyway its not bad kama Mzumbe imetoa candidates wengi hapo bt isiwe kitu cha kukejeli Vyuo vingine japo is not true kwamba wote ni kutoka Mzumbe.
Hapo unaanza na Tgs D mmeshaanza kutukana wenzenu.Ikipanda sijui itakuwaje.
Hongera sana chuo kikuu mzumbe kwa kuonesha ubabe ktk soko la ajira ktk fani za fedha uhasibu na sayansi ya uongozi
wale wapondaji nadhani mnajionea
We cjui umetoka pori gani!wameandika wapi kuwa hao ni graduates wa mzumbe?
Huyu kama kasoma elimu yake haijamkomboa ana mambo ya kitoto Mungu na wanajamvi tumsamehe jamani.
Si nawafahamu ebooooooo
hongera kwa kuwafahamu graduates wote wa mzumbe.
huenda ukawa mwehu zaidi kwa kutoelewa nilichoandika
sijazungumzia wote.. Nimetaja fani....... Nikataja na walioitwa kazin
mwehu ni wewe unaeleta promo za kithenge humu.
Hapo unaanza na Tgs D mmeshaanza kutukana wenzenu.Ikipanda sijui itakuwaje.