ferg
JF-Expert Member
- Mar 8, 2015
- 1,323
- 1,792
Fungua acc kwa kutumia simu yako tu then utaenda ofisini kukamilisha usajili.Naomba kujua utaratibu wa kujiunga ukoje chief
Utt amis kwa ninavyoona Mimi Ni chaguo sahihi imagine Kila mwezi unapata hata Kama Ni elfu kumi ambayo iko secured na pia primary investment iko safe utajiri hauji kwa siku moja na Ni tabia pia ukiwaza Sana kuipata hela kwa pamoja kwa haraka ujue pia unakaribisha risks za kuipoteza pia