Uthibitisho kuwa una uwezo wa kufanikiwa katika chochote

Jul 14, 2008
1,820
1,031
Jaribio la Jinsi Mawazo na Maneno Yalivyo na Athari Kwa Watu na Vitu Vingine na MAFANIKIO YAKO:



Ukweli ni kuwa MAWAZO yako na chochote unachofikiri kinaweza KUSABABISHA (CAUSE & EFFECT).

Katika jaribio la wali uliopikwa ambao uligawanywa katika Containers mbili - na kisha ukawa unaambiwa maneno mazuri ya UPENDO haukuharibika au uliharibika kidogo katika kipindi cha majaribio, wakati ule ulioambiwa maneno mabaya ya CHUKI uliharibika upesi na kwa kiwango kikubwa.

Hate & Love 1.jpg

Unaweza kujaribu experiment hii mwenyewe na ukaja ukatuletea matokeo hapa.

Love & Hate 2.jpg

Ukweli ni kuwa mawazo yako na maneno yako YANASABABISHA. (They can CAUSE. They have an EFFECT).

Kuna NGUVU au ENERGY katika MAWAZO yako. Mawazo yako husababisha EMOTIONS au Hisia. Na hisia ni ENERGY zinazosababisha VIBRATIONS ya ATOMS katika mwili wako ambazo ndizo zinatengeneza BODY CELLS. ATOMS ndiyo the SMALLEST BUILDING BLOCK in your body.

MAWAZO yako yanasababisha UHALISIA au REALITY.

Unaweza kufanikiwa katika jambo lolote ili mradi tu uliwaze au kulifikiria kwa hisia sana na ku-assume kuwa tayari hicho kitu unacho. Ukifanya hivyo kwa IMANI utakuwa Unatuma ENERGY inayoonyesha kuwa kitu hicho unacho na hivyo opportunity ya wewe kupata hicho kitu inajitokeza.

Kwa wale ambao hawakubahatika kuhudhuria Semina zilizopita last week, usikose semina zetu za Mwezi July 2014 ambazo zitabadili kabisa maisha yako.

Maswali na critics zinakaribishwa!
 
Last edited by a moderator:
asante kwa mada yako nimeikubali kuwa uwezo upo katika ufahamu wetu na
na sisi wanadamu tuna uungu wa kuumba vitu kwani tunatokana na mfano wa Mungu
 
Human brain ndo kila kitu... hatuitumii tu.. na Mungu anatushangaa

Mkuu kuna tofauti sana kati ya BRAIN; MIND and THOUGHT. Brain is Biological na ni sawa kwa wanadamu wote. Mind is more of Intelligence. Thought is MAWAZO ambayo hayasababishwi na Ubongo!
 
Hata nyumba ukiichukia au kuihama utaona inaanza kupigwa nyufa.
Likini ukiipenda na kuishi humo utaona ipo imara na inapendeza

Affirmative!

Unakumbuka ule mti ambao Yesu aliulaani na hakutoa matunda?

Unakumbuka Yesu aliituliza bahari iliyochafuka?

Unakumbuka Yesu alisema Msipohubiri atayaambia mawe yahubiri?

Na unakumbuka pia alisema chochote mtakachoomba kwa imani kwa jina langu mtapewa?

Kazi kwako!
 
Hata scientists wa china wamevumbua hilo kwenye maji ingawa dini zinajua tangu enzi kuwa tuombe wakati wowote

Yes. Ukifanya jaribio hilo hilo kwa maji na ukayagandisha, utaona patterns tofauti. HATE barafu itakuwa hovyo. LOVE itakuwa na pattern nzuri ya umbo linaloeleweka i.e maua, crystals etc
 
Sure brother,it is veery true,they say human mind is like a magnet,it will attract anything that you passionately think and feel,whether it is good or bad it will attract it and make it a reality in your life for further video documentary you c google..THE SECRET DOCUMENTARY you will have a two hours video of professionals teaching you how it happens and how you can apply it!
 
I didn't know that, thank u Buddy

Mkuu in the last 5 years kumekuwa na development kubwa sana katika Non-Matter Science particular mambo ya Thought, Mind na Conciousness.

What you should know is that: ATOMS are building blocks of all visible matters. But ATOMS are made up of vibrating electrons, and nucleus (Protons and Neutrons) which are in constant vibrations. These are almost empty space and weightlessness?

Does it mean everything is like Energy and Empty Space?

Are we Holograms of something?

In the unified level all matters in the Universe everything is the same and are made up of same matters and energy. The Universe is a Conscious and Thinking Cosmic Universe!

Hebu angalia maji yanavyo behave ukiongea nayo:

 
Last edited by a moderator:
Sure brother,it is veery true,they say human mind is like a magnet,it will attract anything that you passionately think and feel,whether it is good or bad it will attract it and make it a reality in your life for further video documentary you c google..THE SECRET DOCUMENTARY you will have a two hours video of professionals teaching you how it happens and how you can apply it!


Asante sana Mkuu. Here we go:


 
Last edited by a moderator:
Maneno yako mkuu naona yako sahihi kabisa, lakini jaribio ulilotumia kufikia conclusion haliko realistic kisayansi! kama sample A iko subjected kwa same elements as sample B na zote zipewe muda sawa wa reaction basi nadhani inabidi uangalie factor zingine kama vyombo ulivyotumia havikuwa contaminated, au wakati unasemea hayo maneno ya "hate" haukusema kwa jazba ukatemea vimelea vingi zaidi kuliko kwenye sample ya "love"?
 
duh! kwahiyo mfano kama ukimchukua mizengo pinda au steven wassira ukawafungia mahala, halafu kila siku unaawambia maneno mazuri mazuri ukija kufungua unakuta wana sura kama will smith?
 
duh! kwahiyo mfano kama ukimchukua mizengo pinda au steven wassira ukawafungia mahala, halafu kila siku unaawambia maneno mazuri mazuri ukija kufungua unakuta wana sura kama will smith?

Hahahaaaa dah
 
Back
Top Bottom