Makamba ni kundi la wafanya biashara wakwepa kodi kama vodacom chini ya rostam.siunajua dada yake yuko voda.sasa october akiwa waziri mkuu basi magufuri atafeli vibaya.atafute watendaji wengine mbona wapo wengi.hawa vijana aknia october na michemde wapewe wizara kama mawziri