Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,432
- 11,100
Nimeangalia video ya January Makamba akila kiapo cha ujumbe wa bunge la Africa mashariki, bado naona ni kiumbe Mchanga sana, kiingereza chake ulimi mzito, confidence mbovu, ni aina ya mtu asiye na exposure yoyote. Afadhari ya Bashe.
Napata shida kwenye meza ya majadiliano tutapigwa za uso Kila sehemu.
Hakika kimataifa sasa taifa linaenda kupotea.
Poleni Watanzania wote.
Ndio hivyo tena
Wadiz
Napata shida kwenye meza ya majadiliano tutapigwa za uso Kila sehemu.
Hakika kimataifa sasa taifa linaenda kupotea.
Poleni Watanzania wote.
Ndio hivyo tena
Wadiz