Shida ni TISS, ni ujinga ku-recycle watu wale wale kwa nafasi ambazo zinademand utaalam wa mambo ya logistics, maamuzi ya aina hii ni dharau kwa wananchi, Kihamia ni mstaafu kwa hiyo kustaafu ni kwa walimu na fani zingine tu TISS wao hawastaafu..DART inatakiwa awekwe mtu mwenye mtizamo wa kibiashara.
Hilo Shirika ni la kubinafsisha na kiufupi hata boss wake alitakiwa iwe nafasi wa wazi ya ushindani Ili watu waombe.
Hii ya kuteua Watumishi wa Umma haiwezi kuleta Tija.Just imagine Rais anateua Hadi CEO wa DART,Kuna shida mahala.
Nitashangaa Msajili wa Hazina au Mamlaka ya Uwekezaji ya Mchechu kama hajashauri kubadili muundo wa uendeshaji wa DART.