Recta
JF-Expert Member
- Dec 8, 2006
- 855
- 38
Next level,
Kama hauna jambo la kuandika ni bora ukae kimya.Mie ninataka sababu tano na siyo mambo ya blah blaha tu.Kata ishu mkulu na siyo kuleta viroja na kama zipo sababu mia kama unavyosema ziweke hapa.
Tabia ya kumshabikia na kumuona Mwanakijiji kama Mungu wako itakuja kukuponza(mpo wengi akiwamo Ngeleja aliyemuomba Mwanakijiji afukie fukie)
Mkuu Mtanzania, Tupo Mstari mmoja!
Mwanakijiji Sham on You again na kinachoniuma ni kuwa wakati mwingine huwa unaniboa kwa kubwatuka kama mvutaji wa bangi
I have been warnging you kwa tabia yako ya kukurupuka tu kwa kumfurahisha mtu huku vitu vingine hauvijui,siyo kwamba kwa kuwa Dr. Mwakyembe ni Maanasheria wa katiba anajua kila kitu na akisema lazima tuamini hivyo,na kwavyovyote vile siyo anachosemea Mwanakijiji ni sahihi.Hell No!
Jipange sawa sawa,ila utetezi wako umejaa hoja dhaifu
Mkuu Gembe, unaonekana kukerwa sana na wanaopinga kununuliwa kwa mitambo ya DOWANS. Mimi nakuomba uelimishe jamvi hili kwa kueleza sababu za msingi unazoona zinatosha kusababisha mitambo hiyo kununuliwa na serikali hasa baada ya yote yaliyosemwa kuhusiana na mitambo hiyo.
Tafadhali toa elimu hiyo, ni mimi nitaiheshimu.