Utetezi wa Mwakyembe: Hoja zangu katika PDF

Tatizo ambalo tumelikwaa katika mijadala ya kisiasa Tanzania ni kuamini kwamba tunayemtetea tunafikiri anachafuliwa au anabolewa anapokosolewa. Tunakosea sana tunapofikiri kuwa wale tuliowapachika 'ushujaa' sio watu wanaoweza kukosea, na wakikosea basi wamenunuliwa! Na hao mashujaa wetu nao, kwa kuzoea kumwagiwa sifa, wakafikiri kila watakachokisema au kukifanya watashangiliwa, walipokosolewa wakadhani wanapigwa vita, na watu wanaowapiga vita wanatumiwa na mafisadi!

Namna ya kujitoa kwenye utumwa huu ni kuangalia hoja badala ya mtu. Ikiwa wewe upo kumtetea mtu badala ya hoja lazima utakula kwako kwa sababu huyo mtu wako ipo siku atachemka, na kwa kuwa wewe ulishaamua kuchukua upande, utaendelea kumtetea na ndipo hapo utakapoonekana kituko. Sasa katika sakata hili tulikwisha kuchemsha tangu awali kwa kufikiri kwamba chochote asemacho Mwakyembe na 'mashujaa' wenzake ni kwa maslahi ya taifa na chochote asemacho mtu kama Rostam, kwa mfano, ni kwa maslahi ya mafisadi! Kwa mtizamo huu tumekuwa tukijaribu kuhalalisha kila kitu wasemacho akina mwakyembe na kukifedhehesha chochote wasemacho watu kama akina Rostam. Japokuwa hii inatusaidia kupata furaha kisaikolojia, haitusaidii kupata ukweli wa mambo.

Tuache basi kushabikia majina ya watu, tujikite kwenye kile wanachosema. Tukifika hapa utagundua kwamba kuna siku hata Rostam na Mtikila husema kitu chenye akili, na kuna siku hata Zitto, Mwakyembe, Kilango na 'mashujaa' wetu wengine huchemsha vibaya sana, kama ilivyotokea katika hili sakata la Dowans!
 
Tatizo ambalo tumelikwaa katika mijadala ya kisiasa Tanzania ni kuamini kwamba tunayemtetea tunafikiri anachafuliwa au anabolewa anapokosolewa. Tunakosea sana tunapofikiri kuwa wale tuliowapachika 'ushujaa' sio watu wanaoweza kukosea, na wakikosea basi wamenunuliwa! Na hao mashujaa wetu nao, kwa kuzoea kumwagiwa sifa, wakafikiri kila watakachokisema au kukifanya watashangiliwa, walipokosolewa wakadhani wanapigwa vita, na watu wanaowapiga vita wanatumiwa na mafisadi!

Namna ya kujitoa kwenye utumwa huu ni kuangalia hoja badala ya mtu. Ikiwa wewe upo kumtetea mtu badala ya hoja lazima utakula kwako kwa sababu huyo mtu wako ipo siku atachemka, na kwa kuwa wewe ulishaamua kuchukua upande, utaendelea kumtetea na ndipo hapo utakapoonekana kituko. Sasa katika sakata hili tulikwisha kuchemsha tangu awali kwa kufikiri kwamba chochote asemacho Mwakyembe na 'mashujaa' wenzake ni kwa maslahi ya taifa na chochote asemacho mtu kama Rostam, kwa mfano, ni kwa maslahi ya mafisadi! Kwa mtizamo huu tumekuwa tukijaribu kuhalalisha kila kitu wasemacho akina mwakyembe na kukifedhehesha chochote wasemacho watu kama akina Rostam. Japokuwa hii inatusaidia kupata furaha kisaikolojia, haitusaidii kupata ukweli wa mambo.

Tuache basi kushabikia majina ya watu, tujikite kwenye kile wanachosema. Tukifika hapa utagundua kwamba kuna siku hata Rostam na Mtikila husema kitu chenye akili, na kuna siku hata Zitto, Mwakyembe, Kilango na 'mashujaa' wetu wengine huchemsha vibaya sana, kama ilivyotokea katika hili sakata la Dowans!

Kitila,

Inawezekana kuna waliokutangulia kusema hili; umeliandika wakati nipo kwenye mada hii, na bado posts nyingi sijazisoma. Ile Ulilosema wewe, na yale aliyioandika Taasisi, ndiyo mambo yenyewe. Kusema kuwa Mwakyembe alikosea kutoweka bayana interests zake haina maana kuwa kazi aliyofanya ilikuwa mbaya. Kazi yake ilikuwa nzuri tu, ila ni vizuri angekuja clean kama alivyofanya mjumbe wake Manyanya, hasa kwa vile alitumia kile kitendo cha Manyanya kujiuzulu TANESCO kama proof kuwa ripoti yake haikuwa na conflict of interests za aina yoyote ile.
 
Tatizo ambalo tumelikwaa katika mijadala ya kisiasa Tanzania ni kuamini kwamba tunayemtetea tunafikiri anachafuliwa au anabolewa anapokosolewa. Tunakosea sana tunapofikiri kuwa wale tuliowapachika 'ushujaa' sio watu wanaoweza kukosea, na wakikosea basi wamenunuliwa! Na hao mashujaa wetu nao, kwa kuzoea kumwagiwa sifa, wakafikiri kila watakachokisema au kukifanya watashangiliwa, walipokosolewa wakadhani wanapigwa vita, na watu wanaowapiga vita wanatumiwa na mafisadi!

Namna ya kujitoa kwenye utumwa huu ni kuangalia hoja badala ya mtu. Ikiwa wewe upo kumtetea mtu badala ya hoja lazima utakula kwako kwa sababu huyo mtu wako ipo siku atachemka, na kwa kuwa wewe ulishaamua kuchukua upande, utaendelea kumtetea na ndipo hapo utakapoonekana kituko. Sasa katika sakata hili tulikwisha kuchemsha tangu awali kwa kufikiri kwamba chochote asemacho Mwakyembe na 'mashujaa' wenzake ni kwa maslahi ya taifa na chochote asemacho mtu kama Rostam, kwa mfano, ni kwa maslahi ya mafisadi! Kwa mtizamo huu tumekuwa tukijaribu kuhalalisha kila kitu wasemacho akina mwakyembe na kukifedhehesha chochote wasemacho watu kama akina Rostam. Japokuwa hii inatusaidia kupata furaha kisaikolojia, haitusaidii kupata ukweli wa mambo.

Tuache basi kushabikia majina ya watu, tujikite kwenye kile wanachosema. Tukifika hapa utagundua kwamba kuna siku hata Rostam na Mtikila husema kitu chenye akili, na kuna siku hata Zitto, Mwakyembe, Kilango na 'mashujaa' wetu wengine huchemsha vibaya sana, kama ilivyotokea katika hili sakata la Dowans!


Tatizo nadhani watu wanafikiri wako kwenye mawazo ya mtu kiasi kwamba wanajua anamtetea mtu kwa sababu gani. Hawataki kukubali kuwa ni hoja tu zinazoangaliwa na si sura. Tatizo hilo ni kuwa kwa vile fulani anamtetea fulani basi wanaamini huyo mtetezi anamtetea kwa sababu ni fulani. Nadhani hilo ndilo tatizo.

Nina uhakika kama ningeungana na wengine kusema kuwa Mwakyembe ana mgongano wa maslahi watu wangeniona niko huru. Lakini kwa vile dhamira yangu inaendana na ukweli ninaouamini basi watu wanachukualia ni "kwa sababu".

Basi, nadhani itabidi nikubali tu kuwa ana mgongano wa maslahi ili nisionekane namtetea "kwa sababu". Ili niwaridhishe wale ambao wanaamini kuwa uhuru wa mawazo ni lazime uwe kinyume na mtu unayefahamiana naye to show your independence or neutrality. Nikifanya hivyo nitakuwa mnafiki.

Naamini Dr. Mwakyembe hana mgongano wa maslahi purely on facts. Mwingine akifikiri nafanya hivyo kwa sababu nyingine yoyote, well sina control. But I will never speculate kwanini watu wanasema ana mgongano wa maslahi. Naamini wanasema hivyo si kwa sababu wana chuki na Mwakyembe au ni sehemu ya ufisadi. Naamini dhamira zao zinawafanya waamini hivyo.

Tatizo kwanini hawataki na mimi nifuate dhamira yangu kama wao wanavyofuata dhamira zao? This I don't understand.
 
Prof Kichuguu,

Kwenye Conflict of interest, sii lazima kuwe na maslahi ya kipesa pekee. Inategemea na mazingira ya kazi yenyewe time and location. Kwa maelezo aliyotoa Dr. anaonyesha kuwa huko bungeni imekuwa defined kwa maslahi ya kipesa zaidi.

Si rahisi rahisi kama wengi wetu tunavyofikiria........Inategemea policy zetu zime-define vipi hiyo conflict of interest.......kwa mfumo tulionao "Azimio la Zanzibar" hivi sasa....utakuwa unam-victimize kila public official.........hakuna atakayepona.......Ukiangalia mtu kama Rostam na makampuni yake ya ujenzi na share alizonazo kwenye mashirika mbali mbali halafu leo ndio mtunga sera/sheria.....Ukiangalia Lowassa na Arusha Connection.....kila kitu kitakuwa conflict of interest......itafikia mahala tutasema JK kuteua waislamu ni conflict of interest.............Ridhiwani kuingia halmashauri kuu ya CCM ni conflict of interest.........narudia tena hili suala si rahis rahisi kama wengei wetu tufikiravyo.............

Tuamue moja......turudi kwenye Azimio la Arusha, otherwise hakuna kiongozi atakayepona kwenye huu mjadala wa conflict of interest

KUTOKUJUA KWETU KUWA DR alikuwa na kampuni tangu awali kusitufunge kimawazo kuwa haikuwekwa wazi kwa kuwa alijua kuna conflict of interest.......lazima tukubali kuwa...............
kama mnakubali kuwa Dr na timu yake walikuwa na conflict of interest then ripoti ya uchungzi wake wote wa RDC ni NULL and VOID..........the whole kamati ni upuuzi....na hoja ingekuwa kamati ya Dr imeundwa kimakosa kwani watu waliohusika in one way or the other mawazo yao yako biased kwa ajili ya faida yao huko mbeleni.....na sio kum-single out Dr Mwakyembe. Notwithstanding that however, fact zilizopo on the ground hazitoshi kujustify conflict of interst kwa Dr. Mwakyembe.

Watu kama Eng. Manyanya na Mwambalaswa walitakiwa wajitoe kabisa kwenye kamati hiyo kwani wao wanahusika moja kwa moja na TANESCO, huwezi kujichunguza wakati unatuhumiwa.......nikama vile Chenge alipoteuliwa kwenye kamati fulani wakati ana tuhuma wakati akiwa AG hiyo mikataba ilipita kwake.....that is what we call conflict of interest............

na kwa msingi huo Lowassa and his team Rostam included now they have room ku-safisha ufisadi wao........kwani sasa mkiwafuata tena kila kitu kitakuwa in ORDER.....kuanzia existence ya RDC hence mkataba halali........trust me

Yes, mtu mwenye Conflict of Interest hana moral authority ya kujudge kitu kinachomhusu

Dr. Mwakyembe HANA CONFLICT OF INTEREST kwenye ile kamati.......labda kama kuna mengine lakini sio kwa ile kampuni yake.................Ndio maana toka mwanzo tunapiga kelele kuwa JF tumeingiliwa kwani nguvu ya JF inafahamika.........na wanasiasa Wanatambua
 
Prof Kichuguu,

Kwenye Conflict of interest, sii lazima kuwe na maslahi ya kipesa pekee. Inategemea na mazingira ya kazi yenyewe time and location. Kwa maelezo aliyotoa Dr. anaonyesha kuwa huko bungeni imekuwa defined kwa maslahi ya kipesa zaidi.

Si rahisi rahisi kama wengi wetu tunavyofikiria........Inategemea policy zetu zime-define vipi hiyo conflict of interest.......kwa mfumo tulionao "Azimio la Zanzibar" hivi sasa....utakuwa unam-victimize kila public official.........hakuna atakayepona.......Ukiangalia mtu kama Rostam na makampuni yake ya ujenzi na share alizonazo kwenye mashirika mbali mbali halafu leo ndio mtunga sera/sheria.....Ukiangalia Lowassa na Arusha Connection.....kila kitu kitakuwa conflict of interest......itafikia mahala tutasema JK kuteua waislamu ni conflict of interest.............Ridhiwani kuingia halmashauri kuu ya CCM ni conflict of interest.........narudia tena hili suala si rahis rahisi kama wengei wetu tufikiravyo.............

Tuamue moja......turudi kwenye Azimio la Arusha, otherwise hakuna kiongozi atakayepona kwenye huu mjadala wa conflict of interest

KUTOKUJUA KWETU KUWA DR alikuwa na kampuni tangu awali kusitufunge kimawazo kuwa haikuwekwa wazi kwa kuwa alijua kuna conflict of interest.......lazima tukubali kuwa...............
kama mnakubali kuwa Dr na timu yake walikuwa na conflict of interest then ripoti ya uchungzi wake wote wa RDC ni NULL and VOID..........the whole kamati ni upuuzi....na hoja ingekuwa kamati ya Dr imeundwa kimakosa kwani watu waliohusika in one way or the other mawazo yao yako biased kwa ajili ya faida yao huko mbeleni.....na sio kum-single out Dr Mwakyembe. Notwithstanding that however, fact zilizopo on the ground hazitoshi kujustify conflict of interst kwa Dr. Mwakyembe.

Watu kama Eng. Manyanya na Mwambalaswa walitakiwa wajitoe kabisa kwenye kamati hiyo kwani wao wanahusika moja kwa moja na TANESCO, huwezi kujichunguza wakati unatuhumiwa.......nikama vile Chenge alipoteuliwa kwenye kamati fulani wakati ana tuhuma wakati akiwa AG hiyo mikataba ilipita kwake.....that is what we call conflict of interest............

na kwa msingi huo Lowassa and his team Rostam included now they have room ku-safisha ufisadi wao........kwani sasa mkiwafuata tena kila kitu kitakuwa in ORDER.....kuanzia existence ya RDC hence mkataba halali........trust me

Yes, mtu mwenye Conflict of Interest hana moral authority ya kujudge kitu kinachomhusu

Dr. Mwakyembe HANA CONFLICT OF INTEREST kwenye ile kamati.......labda kama kuna mengine lakini sio kwa ile kampuni yake.................Ndio maana toka mwanzo tunapiga kelele kuwa JF tumeingiliwa kwani nguvu ya JF inafahamika.........na wanasiasa Wanatambua
Ogah wewe ni genius! sio leo tuu nasoma point zako ila mara nyingi na huwa una make sense. keep it up. Jibu ni zuri sanaa
 
Ongeeni yote lakini hatimaye Mwakyembe ni shujaa wa TZ kwa kuwafichua Miunguwatu na ufisadi wao,kuleni fedha za mafisadi baada ya hapo mtajua tuu ukweli.
 
Tatizo ambalo tumelikwaa katika mijadala ya kisiasa Tanzania ni kuamini kwamba tunayemtetea tunafikiri anachafuliwa au anabolewa anapokosolewa. Tunakosea sana tunapofikiri kuwa wale tuliowapachika 'ushujaa' sio watu wanaoweza kukosea, na wakikosea basi wamenunuliwa! Na hao mashujaa wetu nao, kwa kuzoea kumwagiwa sifa, wakafikiri kila watakachokisema au kukifanya watashangiliwa, walipokosolewa wakadhani wanapigwa vita, na watu wanaowapiga vita wanatumiwa na mafisadi!

Namna ya kujitoa kwenye utumwa huu ni kuangalia hoja badala ya mtu. Ikiwa wewe upo kumtetea mtu badala ya hoja lazima utakula kwako kwa sababu huyo mtu wako ipo siku atachemka, na kwa kuwa wewe ulishaamua kuchukua upande, utaendelea kumtetea na ndipo hapo utakapoonekana kituko. Sasa katika sakata hili tulikwisha kuchemsha tangu awali kwa kufikiri kwamba chochote asemacho Mwakyembe na 'mashujaa' wenzake ni kwa maslahi ya taifa na chochote asemacho mtu kama Rostam, kwa mfano, ni kwa maslahi ya mafisadi! Kwa mtizamo huu tumekuwa tukijaribu kuhalalisha kila kitu wasemacho akina mwakyembe na kukifedhehesha chochote wasemacho watu kama akina Rostam. Japokuwa hii inatusaidia kupata furaha kisaikolojia, haitusaidii kupata ukweli wa mambo.

Tuache basi kushabikia majina ya watu, tujikite kwenye kile wanachosema. Tukifika hapa utagundua kwamba kuna siku hata Rostam na Mtikila husema kitu chenye akili, na kuna siku hata Zitto, Mwakyembe, Kilango na 'mashujaa' wetu wengine huchemsha vibaya sana, kama ilivyotokea katika hili sakata la Dowans!

Mkuu Kitila,

Umemaliza yote. Tuwekeze kwenye sheria na maadili badala ya mtu.

Mtaji wa kuwekeza kwa mtu ni balaa tupu. Si umeona wanachama wa CUF hapa, wamemshambulia mheshimiwa Zitto na sasa Prof. wao anaongea kitu karibu hicho hicho wanaanza kupigwa na shock.

Kama kuna kujifunza, nafikiri huu mjadala umetufundisha mengi.
 
Prof Kichuguu,

Kwenye Conflict of interest, sii lazima kuwe na maslahi ya kipesa pekee. Inategemea na mazingira ya kazi yenyewe time and location. Kwa maelezo aliyotoa Dr. anaonyesha kuwa huko bungeni imekuwa defined kwa maslahi ya kipesa zaidi.

Si rahisi rahisi kama wengi wetu tunavyofikiria........Inategemea policy zetu zime-define vipi hiyo conflict of interest.......kwa mfumo tulionao "Azimio la Zanzibar" hivi sasa....utakuwa unam-victimize kila public official.........hakuna atakayepona.......Ukiangalia mtu kama Rostam na makampuni yake ya ujenzi na share alizonazo kwenye mashirika mbali mbali halafu leo ndio mtunga sera/sheria.....Ukiangalia Lowassa na Arusha Connection.....kila kitu kitakuwa conflict of interest......itafikia mahala tutasema JK kuteua waislamu ni conflict of interest.............Ridhiwani kuingia halmashauri kuu ya CCM ni conflict of interest.........narudia tena hili suala si rahis rahisi kama wengei wetu tufikiravyo.............

Tuamue moja......turudi kwenye Azimio la Arusha, otherwise hakuna kiongozi atakayepona kwenye huu mjadala wa conflict of interest

KUTOKUJUA KWETU KUWA DR alikuwa na kampuni tangu awali kusitufunge kimawazo kuwa haikuwekwa wazi kwa kuwa alijua kuna conflict of interest.......lazima tukubali kuwa...............
kama mnakubali kuwa Dr na timu yake walikuwa na conflict of interest then ripoti ya uchungzi wake wote wa RDC ni NULL and VOID..........the whole kamati ni upuuzi....na hoja ingekuwa kamati ya Dr imeundwa kimakosa kwani watu waliohusika in one way or the other mawazo yao yako biased kwa ajili ya faida yao huko mbeleni.....na sio kum-single out Dr Mwakyembe. Notwithstanding that however, fact zilizopo on the ground hazitoshi kujustify conflict of interst kwa Dr. Mwakyembe.

Watu kama Eng. Manyanya na Mwambalaswa walitakiwa wajitoe kabisa kwenye kamati hiyo kwani wao wanahusika moja kwa moja na TANESCO, huwezi kujichunguza wakati unatuhumiwa.......nikama vile Chenge alipoteuliwa kwenye kamati fulani wakati ana tuhuma wakati akiwa AG hiyo mikataba ilipita kwake.....that is what we call conflict of interest............

na kwa msingi huo Lowassa and his team Rostam included now they have room ku-safisha ufisadi wao........kwani sasa mkiwafuata tena kila kitu kitakuwa in ORDER.....kuanzia existence ya RDC hence mkataba halali........trust me

Yes, mtu mwenye Conflict of Interest hana moral authority ya kujudge kitu kinachomhusu

Dr. Mwakyembe HANA CONFLICT OF INTEREST kwenye ile kamati.......labda kama kuna mengine lakini sio kwa ile kampuni yake.................Ndio maana toka mwanzo tunapiga kelele kuwa JF tumeingiliwa kwani nguvu ya JF inafahamika.........na wanasiasa Wanatambua

Ogah,

Kitu ambacho unasahau ni kwamba kuwepo kwa conflict of interest kwenye jambo fulani, hakukuzuii wewe kuwemo kwenye hiyo kamati au uongozi mwingine. Kuna options mbili zimetolewa na zote zina nguvu sawa. Unaweza kujitoa kama unaamini kuwepo kwako pale kunaweza kuathiri utendaji wa ile kamati au unaweza ku declare hiyo interest yako na kuendelea na kazi kwenye kamati, hapo utawafanya wajumbe kila unachosema wakichunguze mara mbilimbili.

Pili kuhusu validity ya hiyo report, kama Dr. Mwakyembe ataitwa kwa mfano Paris kwenye case ya Dowans kutoa ushahidi, nakuhakikishia Tanzania kama nchi tunaweza kushindwa hiyo case kwasababu tu ya kosa hilo dogo la Dr. Kushindwa ku declare hizo interest zake. Sisi engineers tunasema garbage in garbage out, naamini hata kwenye sheria wanaamini hivyo. Ukichemsha kwenye process, unachemsha kwenye conclusion, ukichemsha kukusanya data, result unayopata inakuwa mchemsho. Ndio maana process nzima ni muhimu kweli iwe fair.

Binafsi kama ambavyo nimesema mara nyingi, naamini Dr. alifanya kazi nzuri sana kwenye ile report. Ni very unfortunate kwamba alishindwa kuliona hili mapema na kuliweka wazi kabla ya kuendelea na uchunguzi wake.
 
Kinepi,
hauwezi kusemea tu gharama yake ni kiasi flani bila ya kuja na uthibitisho,lete Invoice za hayo makampuni tuone ukweli kuhsuiana na hiloo na siyo habari za kuhisi tu.
Na imeandikwa wapi ni mitambo ya kina Rostam?Lete uthibitisho na acha mambo ya kuspeculate!


Wamilili DOWANS ni matapeli?wana kesi?wapi huko!


Mitambo hiyo ni mizee vipi wakati siye ndiyo tumeanza kuitumia hapa nchini na ilianza kutumiwa na TANESCO hao hao,Sheria inasema vipi kuhusiana na vitu vichakavu?(lete kifungu)


Huko kumlipa Lowassa na Rostama kwa mgongo wa nyuma kukoje embu elezea?hauleweki hapa



Siwezi kaa kimya na huna uwezo wa kuninyamazisha bila kuwa na hoja za msingi!


Ndiyo huwezi kuleta hoja kwa kuwa siyo mjenga hoja!

Gembe, acha kusumbua akili za watu kwa uvivu wako wa kufuatilia mambo. Mada hii ya kwanini hatutaki mitambo ya dowani ishajadiliwa kwa kirefu na sababu za kutosha zishatolea na hizo supplying company zimetolewa. Sasa usiturudishe nyuma kwa uvivu wako wakujishughulisha kusoma
 
Kitila Mkumbo,
Sasa katika sakata hili tulikwisha kuchemsha tangu awali kwa kufikiri kwamba chochote asemacho Mwakyembe na 'mashujaa' wenzake ni kwa maslahi ya taifa na chochote asemacho mtu kama Rostam, kwa mfano, ni kwa maslahi ya mafisadi! Kwa mtizamo huu tumekuwa tukijaribu kuhalalisha kila kitu wasemacho akina mwakyembe na kukifedhehesha chochote wasemacho watu kama akina Rostam. Japokuwa hii inatusaidia kupata furaha kisaikolojia, haitusaidii kupata ukweli wa mambo.
Mkuu wangu hakuna mtu anayetetea mtu...na hata siku moja usijefikiria Riostam anaweza kuzungumza kitu kwa maslahii ya Taifa inapofikia swala la uwekezaji nchini..na kibaya zaidi unashindwa kuangalia hoja hii upande wa Rostam mwenyewe ambaye ni mmiliki wa gazeti, Dowans na ndiye mwanzilishi wa tuhuma hizi..
Mkuu ni kamwaida ya Mdanganyika kwani nakumbuka siku za nyuma Mtikila aliweka hoja yake na Rostam akaijibu kwa kusema Mtikila kisha chukua fedha toka kwa Rostam..
Wadanganyika tukamsafisha Rostam akaonekana wa maana wakti zile fedha alizitoa kama mchango kwa kanisa, kosa ati kama alijua ni fisadi kwa nini alizipokea!.. Hatukutaka kufahamu ni lini Mtikila ameingiwa na hisia za ufisadi wa Rostam bali tuilichukulia mambo juu juu na kumsafisha Rostam..Tukafunga na kurasa, Rostam huyo huyo anazidi kutumaliza!
 
Mtanzania umelonga,
Unajua watu hapa wanaweka issue kuwa Mwakyembe vs Rostam. Lakini suala siyo hao sura za hao wawili, suala ni matendo yao ambayo yamekiuka maadili.

Sasa kama Rostam akikiuka tunamjadili, akikiuka Mwakyembe tukimjadili eti tunatumiwa na Rostam. Lengo ni kwamba watu wanataka wawatoe watu (kutoka kwa maana ya muziki wa bongo flava) ili wawe viongozi. Ni lazima tuwaambie mambo ya kutuuzia mbuzi kwenye gunia sasa hivi lazima yaishe. Maana 2005 JK mlimkimbiza hata kwenye mdahalo ili asipate maswali magumu, sasa hivi mnawatetea akina Mwakyembe wanapo flip flop sasa watakuwa viongozi gani wasipokoselewa wakajifunza?

Ukweli ni kwamba Dr. Mwakyembe ana conflict of interest kwenye swala hili. alitakiwa ku-disclose informations/data zake kuhusu hiyo kampuni ya kufua umeme. amekwenda tofauti kabisa na International Accounting Standard (IAS’s ) No 37 on Provisions,Contingent Assets and Liabilities. kwa hiyo Mzee Mwanakijiji hakutakiwa kabisa kumtetea!!!
 
Ni ukweli usiopingika kwamba kuna watu wengi weusi kwa weupe waishio nchini Tanzania ambao wanasoma shule zetu bure na kudai ni Watanzania lakini wakati ukifika hao wanarudi kwao kwa mbwembwe nyingi na Kashfa.

Yameshatokea haya lakini watz tu wagumu wa kujifunza; kuukubali ukweli
 
Mkuu Kitila,

Umemaliza yote. Tuwekeze kwenye sheria na maadili badala ya mtu.

Mtaji wa kuwekeza kwa mtu ni balaa tupu. Si umeona wanachama wa CUF hapa, wamemshambulia mheshimiwa Zitto na sasa Prof. wao anaongea kitu karibu hicho hicho wanaanza kupigwa na shock.

Kama kuna kujifunza, nafikiri huu mjadala umetufundisha mengi.

Mtanzania,

Sidhani kama wanachma wa CUF wako mawazoni mwa Prof kiasi kwamba walichokuwa wanakisema hapa ni mawazo ya Prof.......honestly that showed us all how they can think independently......sidhani kama walim-consult Prof kabla ya kuja na mawazo yao hapa JF...........na sidhani sasa kuwa watageuka na kum-spport Zotto eti kwa kuwa Prof ka-support.

sasa basi wewe Mtanzania kwa kusema hivyo hapo juu ndio unaonekana na kasoro za ku-judge watu kimakosa........unless hao unao-claim ni wana CUF wamekuonyesha shock yao hapa JF.

Namalizia kwa kusema kama ni kweli Prof kam-support Zitto naye kachemsha BIG TIME!
 
Pamoja na kwamba inawezekana Dr. Mwakyembe hajakiuka sheria yoyote ile, kanuni, au maadili ya kazi yake ingekuwa busara kama angeenda juu na nje (above and beyond) ya kile anachotakiwa kuweka bayana kisheria na kuweka wazi kuwa na yeye ni mmoja wa wanahisa wa kakampuni ka umeme ambako hakana hata jengo wala bisibisi.

Kufanya hivyo kungeepusha yote haya yanayoendelea sasa hivi. Ni vyema kufuata sheria jinsi zilivyo lakini ni muhimu pia kutumia busara katika kuzifuata. Perception may or may not be the reality but in politics and in public service, most often times, perception can be reality.
 
Pamoja na kwamba inawezekana Dr. Mwakyembe hajakiuka sheria yoyote ile, kanuni, au maadili ya kazi yake ingekuwa busara kama angeenda juu na nje (above and beyond) ya kile anachotakiwa kuweka bayana kisheria na kuweka wazi kuwa na yeye ni mmoja wa wanahisa wa kakampuni ka umeme ambako hakana hata jengo wala bisibisi.

Kufanya hivyo kungeepusha yote haya yanayoendelea sasa hivi. Ni vyema kufuata sheria jinsi zilivyo lakini ni muhimu pia kutumia busara katika kuzifuata. Perception may or may not be the reality but in politics and in public service, most often times, perception can be reality.

Umehitimisha mjadala.
 
Ogah,

Kitu ambacho unasahau ni kwamba kuwepo kwa conflict of interest kwenye jambo fulani, hakukuzuii wewe kuwemo kwenye hiyo kamati au uongozi mwingine. Kuna options mbili zimetolewa na zote zina nguvu sawa. Unaweza kujitoa kama unaamini kuwepo kwako pale kunaweza kuathiri utendaji wa ile kamati au unaweza ku declare hiyo interest yako na kuendelea na kazi kwenye kamati, hapo utawafanya wajumbe kila unachosema wakichunguze mara mbilimbili.

Pili kuhusu validity ya hiyo report, kama Dr. Mwakyembe ataitwa kwa mfano Paris kwenye case ya Dowans kutoa ushahidi, nakuhakikishia Tanzania kama nchi tunaweza kushindwa hiyo case kwasababu tu ya kosa hilo dogo la Dr. Kushindwa ku declare hizo interest zake. Sisi engineers tunasema garbage in garbage out, naamini hata kwenye sheria wanaamini hivyo. Ukichemsha kwenye process, unachemsha kwenye conclusion, ukichemsha kukusanya data, result unayopata inakuwa mchemsho. Ndio maana process nzima ni muhimu kweli iwe fair.

Binafsi kama ambavyo nimesema mara nyingi, naamini Dr. alifanya kazi nzuri sana kwenye ile report. Ni very unfortunate kwamba alishindwa kuliona hili mapema na kuliweka wazi kabla ya kuendelea na uchunguzi wake.

Kuna mambo mawili ambayo watu mnachanganya

1.Ku-declare interest zako ikiwa ni sehemu ya maadili ya viongozi

2.Conflict of Interest kutokana na umiliki/interest wako wa mali

Kuhusu Dr. Mwakyembe

1. Kama Dr. haku-declare interest zake kama ambavyo anatakiwa kufanya hilo ni kosa

2. ku-declare au kuto-declare kwake hakumfanyi awe guilty of "Conflict of Interest" kwa kazi aliyoifanya kuhusu RDC/DOWANS

hivyo basi sidhani kama Dr akienda kutoa utetezi tutashindwa kwa kuwa yeye haku-declare kampuni yake......technically its a big NO
 
Mnazungushana maneno tu, I know I am right and you guys are wrong. Mengine ya kuitana majina, kurushiana maneno ni kulazimisha hoja tu. "shame on you, ndumilakuwili, mvuta bangi" n.k is part of the same.

As far as all the evidence has been laid down, Mwakyembe hajavunja sheria yoyote, hajakiuka taratibu yoyote; na hakuwa na pecuniary interests yoyote ya kudeclare wakati wa sakata la Richmond na hata kwenye Dowans sasa hakuna interests yoyote anayoweza kuvuna wakati huu.

Watu wanajaribu kutafuta standard tofauti na iliyowekwa na wabunge wenyewe. Bunge limesema wakati spika anateua wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge anaweza kuangalia uzoefu na ujuzi wa wajumbe katika kamati fulani. Kwa maneno mengine, Daktari anaweza kuwa kwenye kamati ya Afya na Jamaii (wakati pia ana kliniki) na mfanyabiashara (Dr. Kigoda, Dr. Diallo kwa mfano) wanaweza kuwa kwenye kamati ya Fedha na Uchumi.

Jambo jingine ni kuwa watu hawataki kukubali kuwa taarifa anazozipata Mwakyembe kutoka kwenye kamati ya Madini ni public record na mtu yeyote anaweza kuzipata akiwemo Lowassa, Selelii, Serukamba na Kikwete. Siyo siri hivyo Mwakyembe au mjumbe yoyote wa kamati ya Madini hana taarifa kwa kamati ambazo mtu mwingine hawezi kuzipata. As a matter of fact, hata mtanzania mwingine yoyote akitaka kupata taarifa zinazoletwa Bungeni anaweza kuzipata kwa kuwasiliana na Katibu wa Bunge.

Kuna watu wanataka kuwaaminisha watu kuwa nimeshauriana na Dr. kuhusu majibu yake. Wakiulizwa ushahidi hapa watajiuma uma maneno. Kusiwe na utata kwenye hilo. SIJAZUNGUMZA NA DR.MWAKYEMBE kuhusu suala hili hata mara moja tangu lianze. Sijamshauri (kwani sina uwezo wa kumshauri na si mshauri wake). Ukweli ni kuwa hoja zake na za kwangu zinafanana na hilo siyo jambo la kulionea haya au kuogopa kuonekana namtetea.

Ndio maana nimesema Hoja za wazi kwani sina sababu ya kujiuma maneno. I am right and you guys are wrong. Na mna makosa si kwa sababu ni watu wabaya, au mna mchuki au vitu vingine bali kwa sababu hoja zenu zina makosa. It is nothing personal kama watu wanavyotaka kuzigeuza. You arguments are flawed, the premises wrong, the evidence weak, and conclusions illogical.

It is purely that. Call it the supremacy of reason and the arrogance of boldness.

Kuna biashara ya kuvuna papo kwa papo ? labda mihadarati.
 
Back
Top Bottom