Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Excellent advice from Ozzie . Na jihadhari na madawa ya mitaani utakayoambiwa kunywa fibroid iishe , you better seek medical advise first.
 
unaishi maeneo gani?

1. ni bora iondolewe kwa operesheni kwasababu ni rahisi na haraka ili upate muda wa kushika mimba.

2. Ukitumia vidonge itachukua muda mwingi na itakuletea madhara ya muda mrefu kwani dawa huwa ni kali sana.
(a) Zinaweza kusababisha homoni za kiume kuzidi, ukaanza kuota ndevu na
(b) pia inaweza kusababishia mood swings, ukaishia kuwa na hasira hasira sana.

ugua pole.
 
unaishi maeneo gani?

1. ni bora iondolewe kwa operesheni kwasababu ni rahisi na haraka ili upate muda wa kushika mimba.

2. Ukitumia vidonge itachukua muda mwingi na itakuletea madhara ya muda mrefu kwani dawa huwa ni kali sana.
(a) Zinaweza kusababisha homoni za kiume kuzidi, ukaanza kuota ndevu na
(b) pia inaweza kusababishia mood swings, ukaishia kuwa na hasira hasira sana.

ugua pole.

Mkuu mood swings ni nini na husababishwa na nani? Ni ugonjwa au, na ufanye nn kuuepuka.
 
Mkuu mood swings ni nini na husababishwa na nani? Ni ugonjwa au, na ufanye nn kuuepuka.

Wengi wanaokunywa dawa za kuzuia mimba hupata huo ugonjwa sasa hapo dada anataka mimba na tiba ya huo ugonjwa mara nyingi ni kutoa kizazi...yupo kwenye mtihani
 
Mkuu mood swings ni nini na husababishwa na nani? Ni ugonjwa au, na ufanye nn kuuepuka.

mood swings ni mabadiliko ya haraka haraka ya hisia kicheko/hasira kali.

Mtu anaweza kuwa na furaha baada ya sekunde anaanza kulia kwasababu ya hasira. Sio kwasababu anapenda, la hasha. Ni kwasababu ya homoni kuvurugika mwilini.

Jinsi ya kuepuka, usitumie dawa zenye homoni au zinazoweza kusababisha matatizo ya homoni mwilini. Kula vyakula vyenye afya, fanya mazoezi mara kwa mara.
 
Wengi wanaokunywa dawa za kuzuia mimba hupata huo ugonjwa sasa hapo dada anataka mimba na tiba ya huo ugonjwa mara nyingi ni kutoa kizazi...yupo kwenye mtihani

sio lazima kutoa kiizazi kwani hutegemea risk na mahali ilipo
 
Asanteni wote mlionishauri nimeonana na dr pale muhimbili ameniambia niuondoe kwa operation ingawa ni hatari kwa mtu ambae hajazaa kuna complications zinaweza jitokeza ukakosa kuzaa .Ila sina jinsi.
 
Mkuu Lateni dawa ya kukutibu maradhi yako ya Fibroids uvimbe kwenye sehemu ya mifuko ya uzazi ninayo ukitaka ninaweza kukutibia pasipo na kufanya opereshenina huo uvimbe wako utapona kwa kutumia dawa zangu Ukifanya operesheni utarudi tena huo uvimbe wako baada muda fulani kuwa muangalifu sana. ukinihitaji nikutibie pasipo operesheni bonyeza hapa.Mawasiliano
 
Pole sana dada. Operation siyo kitu kizuri sana ingawa itatatua taizo kwa muda na ni hatari sana. hayaa madaktari wetu huwa wakati mwingine huwa hawatuambii ukweli sana. lakini nilitaka kujua kama ulisha tumia njia mbadala na ikashindikana. kitu kingine ambacho madaktari huwa hawatuambii ni kuwa huwa kuna sababu. kama sababu hizo hazijatatuliwa kuna uwezekano wa kujirudia.Pia madaktari huwa hawatuambii ukweli kuhusu hawa madawa ya uzazi wa mpango na madhara yake. kama utataka ushari zaidi 0689 417472
 
Mkuu Lateni dawa ya kukutibu maradhi yako ya Fibroids uvimbe kwenye sehemu ya mifuko ya uzazi ninayo ukitaka ninaweza kukutibia pasipo na kufanya opereshenina huo uvimbe wako utapona kwa kutumia dawa zangu Ukifanya operesheni utarudi tena huo uvimbe wako baada muda fulanikuwa muangalifu sana. ukinihitaji nikutibie pasipo operesheni bonyeza hapa.Mawasiliano

Mkuu unajua hapo unazungumzia afya ya Mtu. Kusema operesheni haiwezi kumsaidia wakati ni ushauri wa madaktari huoni unahatarisha maisha ya mgonjwa?

Sijawahi kusikia tabibu wa mitishamba akisema hawezi kutibu ugonjwa fulani!!
 
unaishi maeneo gani?

1. ni bora iondolewe kwa operesheni kwasababu ni rahisi na haraka ili upate muda wa kushika mimba.

2. Ukitumia vidonge itachukua muda mwingi na itakuletea madhara ya muda mrefu kwani dawa huwa ni kali sana.
(a) Zinaweza kusababisha homoni za kiume kuzidi, ukaanza kuota ndevu na
(b) pia inaweza kusababishia mood swings, ukaishia kuwa na hasira hasira sana.

ugua pole.

Kuna rafiki yangu yuko ng'ambo ana hilo tatizo pia na tayari anatumia dozi (sijui details za hiyo dozi) ntarudi kwa huyu dada nikapata positive feedback from my friend. Tatizo la operation ni kwamba haikupi guarantee ya kuondokana na tatizo hilo forever.
 
Kuna rafiki yangu yuko ng'ambo ana hilo tatizo pia na tayari anatumia dozi (sijui details za hiyo dozi) ntarudi kwa huyu dada nikapata positive feedback from my friend. Tatizo la operation ni kwamba haikupi guarantee ya kuondokana na tatizo hilo forever.

wanawake wengi wanaoishi nchi zilizoendelea hasa WEUSI, wana tatizo hili kwasababu ya diet mbaya yenye wanga kupitiliza.

kwa kiasi fulani, bila mazoezi, kutozaa kwa muda mrefu na chakula chenye wanga nyingi (junk food) husababisha tatizo hili sana.

na hata Tanzania linakuwa sana kutokana na aina za maisha, kutofanya mazoezi na ongezeko na diet za vyakula vilivyosagwa.
 
wanawake wengi wanaoishi nchi zilizoendelea hasa WEUSI, wana tatizo hili kwasababu ya diet mbaya yenye wanga kupitiliza.

kwa kiasi fulani, bila mazoezi, kutozaa kwa muda mrefu na chakula chenye wanga nyingi (junk food) husababisha tatizo hili sana.

na hata Tanzania linakuwa sana kutokana na aina za maisha, kutofanya mazoezi na ongezeko na diet za vyakula vilivyosagwa.

Asante mkuu nilikuwa sijui hili ...
 
Pole sana dada, uamuzi ulio uchukua wa kwenda muhimbili ni uamuzi bora kabisa kwa sababu umeonana na mtaalamu wa fya ya uzazi na amekupa ushauri wa nini cha kufanya pamoja na risk zake.Jihadhari na hawa watu wa tiba mbadala wasije waka kubadilisha mawazo kwa sababu wao wana kasumba ya kutisha watu kuhusu madhara ya huduma za afya za hospitali za kisasa mpaka madawa pia. Kama wakishindwa kukusaidia itabidi urudi hospitali taizo lako likiwa kubwa zaidi,Nenda hospitali na tiba mbadala pia tumia Mungu atakusaidia na utapona kabisa.
Kuna dktari anaitwa KAPONA wa muhimbili ana clinic yake CHANIKA DAR ES SALAAM,ni the best Gyno kwa Tanzania hasa kwa wenye matatizo ya uzazi ukipata muda unaweza mtafuta.Ubarikiwe sana
 
Wife alikuwa na tatizo km hilo akatumia dawa za kienyeji ila uvimbe haukutoka licha ya dawa hizo kuwezesha kupata mimba, tulienda kairuki hospital alifanyiwa operation na ujauzito bado huu mwezi wa nne sasa tangia kufanyiwa operation. Alikunywa dawa tatu haijulikani ipi ilimponesha
 
Habari ya majukum Wana JF,

Naomba Kuuliza hivi kuna dawa ya myoma inayokausha Bila kufanyiwa oparation, na je? kwa hapa Dar kuna hospitali wanatumia ultrasound ya digital yani isiwe na mawimbiwimbi.

Asante.
 
Ni kweli kabisa mimi nilipatwa na tatizo hili nilihangaika sana kwa madaktari mbali mbali hadi nilifika hadi kwa waganga wa kienyeji na nikajikuta ninaokoka maana tatizo likawa serious sana ila madaktari wengi wa magonjwa ya wanawake wa muhimbili,aghakan,na pale dar group waliniambia nipate mimba tatizo ndo nilikuwa nasoma ila tatizo lilizidi sana kunitesa na kila nikienda hospitali utrasound inaonesha uvimbe unaendelea kukua.Ikanibidi nijitwishe mzigo wa mimba nikiwa bado nasoma chuo,cha ajabu kipindi chote cha mimba maumivu yale makali yalitoweka hadi leo naitwa mama fulani sijawahi kuexperience tena uwepo wa uvimbe na sikutaka kwenda kupiga hizo utra sound zao maana niliteseka sana.So jamani mimba iliplay miracle fulani hivi kwenye huu ugonjwa ila niliumia kwa kuwa mwanangu sikumzaa ndani ya ndoa.

Kwa hiyo uliamua kumtafuta mtoto intetionally ukiwa umeokoka?
 
Back
Top Bottom