Uterine Fibroids (Myoma): Preventing, Shrinking and Avoiding Surgery

Hapa kuna kina mwaka wameingia hapa na wanalisha sumu sana,achana na quack doctors,nenda kwa gynacologist,hapa kuna vishoka wa tiba ndugu.unajua kila mtu anajifanya ni daktari hapa.Fuata ushauri wangu.
 
Gynaecologist ndo wa nakwambia had I ufanyiwe upasuaji , nami nataka kutibu bila upasuaji. Naonaga pia mwaka huwa anatangaza sana je huwa anayatibu kweli
 
ni kama mwezi umepita, kabla sijabadili ID yangu,nilikuwa natumia "Danny Job" nikakutext ukaniuliza jina,nikakujibu ndio mpaka leo, ila sijali may be ulipitiwa.
Samahani nimeghafilika niulize tena kwenye What's App binadamu sisi hatuja kamlika Mkuu ISLETS Please try again.
 
Last edited by a moderator:
MYOMA or UTERINE FIBROIDS or LEIOMYOMA or UTERINE MYOMA... Huu ni uvimbe (benign tumour) inayotokea kwenye kuta laini za uterine.... Hii inaweza patikana about 25% of female of females of reproductive age.

Sababu inayofanya uterine fibroids ni kukuwa kupitiliza kwa misuli ambayo ipo kwenye uterine hii nikutokana na kwamba fibroids ni oestrogen dependent...sana sana huwapata wanawake ambao ni infertile becouse there is long standing unopposed oestrogen effects leading to over proliferation of the uterine smooth muscles.

Pia huweza sababishwa na obesity (unene ulio pitiliza), child bearing age>30. ..na family history/ genetic predisposition. Fibroids imegawanyika kwenye makundi 3. Submucousal, intramural na subserpsal.

Dalili za uvimbe wa kizazi ni constipation (kukosa choo, choo kuwa kigumu), feeling fullness in the lower abdomen( kujiskia kuwa na ujazo kwenye tumbo la kizazi kama mtu aliyeshiba), Anaemia( damu kuwa kidogo Hb).

Diagnosis za Myoma ni kupima Hb iwapo itakuwa ndogo below normal range <12g/dl na upt kusoma -ve hii inaweza ikawa njia kubwa ya kupima fibroids... Pia ultrasonography inatumika kuconfirm ugonjwa.

Mkuu mama katudanganya!...hamna obsetrician anayethubutu kuondoa myoma wakati wa c/s coz wakati huo uterus inakua hypervascular due to the effect of the pregnancy so ukijaribu kupitisha kisu umeumia!!...the woman will go into a torrential bleeding to death!!
 
Mkuu mama katudanganya!...hamna obsetrician anayethubutu kuondoa myoma wakati wa c/s coz wakati huo uterus inakua hypervascular due to the effect of the pregnancy so ukijaribu kupitisha kisu umeumia!!...the woman will go into a torrential bleeding to death!!

Basi tuchukulie wewe ndo ulifanyiwa kama unabisha, ama unaropoka tu, Mimi ndo nashida hiyo na nimeomba msaada wewe unaniita nadanganya mbona huna ustarabu.
 
Basi tuchukulie wewe ndo ulifanyiwa kama unabisha, ama unaropoka tu, Mimi ndo nashida hiyo na nimeomba msaada wewe unaniita nadanganya mbona huna ustarabu.

Mama! Sayansi ya udaktari sio kama uganga wa kienyeji, haya mambo yanafanyika kutokanana evidence na facts!
Ndio maana watu wanasoma miaka mitano na wengine zaidi ilikuacquire hizo facts....

Sasa navyokwambia kwamba myomectomy kwa uterus ambayo ilikua ni gravid ni contraindication nielewe!

Hamna obsetrician in his right mind atakaye fanya hio procedure! Wakati huo! Its a risky procedure…
 
Mkuu mama katudanganya!...hamna obsetrician anayethubutu kuondoa myoma wakati wa c/s coz wakati huo uterus inakua hypervascular due to the effect of the pregnancy so ukijaribu kupitisha kisu umeumia!!...the woman will go into a torrential bleeding to death!!

hili nikiliwazia sana mwanzoni kabla yaku anza mwagika...ila mwshoni nka jijibu as longer kabla yaku pgwa kisu kuna unit za BT zilizo fanyiwa compatibilty test zpo tayar....labda.....
 
Mkuu mama katudanganya!...hamna obsetrician anayethubutu kuondoa myoma wakati wa c/s coz wakati huo uterus inakua hypervascular due to the effect of the pregnancy so ukijaribu kupitisha kisu umeumia!!...the woman will go into a torrential bleeding to death!!

Mkuu usibishe, nawafahamu watu wengi sana waliotolewa myoma wakati wa c-sect na wame survive. And I am one of them, a living proof, kama mtoa mada.
 
Mkuu usibishe, nawafahamu watu wengi sana waliotewa myoma wakati wa c-sect na wame survive. And I am one of them, a living proof, kama mtoa mada.

Mimi Ni Mara mbili sasa, ndo maana natafuta kutibu sio kupasuliwa.
 
Mimi Ni Mara mbili sasa, ndo maana natafuta kutibu sio kupasuliwa.

Kuna hii procedure ya bila upasuaji, hata India na South Africa ipo sasa. Google kwa taarifa zaidi. Nikipata link nitakuwekea.

HIFU (high intensity focused ultrasound) treatment for uterine fibroids is a highly precise procedure using high intensity, focused ultrasound to heat and destroy diseased tissue. The history of using therapeutic ultrasound dates back to early in the 20th century. Technology has continually improved and additional clinical applications, both diagnostic and therapeutic, have become an integral part of medicine today.

In HIFU treatment, Ultrasound beams are focused on diseased tissue, and due to the significant energy deposition at the focus, temperature within the tissue rises to more than 65°C, destroying the diseased tissue. This technology can achieve precise "ablation" of diseased tissue, therefore being called HIFU surgery. Because it destroys the diseased tissue non-invasively, it is also known as "Non-invasive HIFU surgery".

An important difference between HIFU treatment and many other forms of focused energy, such as radiation therapy or radio surgery, is that the passage of ultrasound energy through intervening tissue has no apparent cumulative effect on that tissue. While treatment of uterine fibroids was once solely the domain of OBGYN surgeons, the development of this non-invasive HIFU treatment has made treatment more multidisciplinary - to the benefit of the patient.

Development of HIFU therapy has been greatly enhanced through the use of Magnetic Resonance Imaging (MRI) to guide and monitor the procedure. This therapy is more accurately called MRgFUS (MR guided Focused UltraSound).

HIFU treatment describes the clinical application of FUS (focused ultrasound) using a high-quality method of medical imaging to guide, monitor, and control the size and location of the therapeutic focal beam. Since FUS works by causing tissue coagulation, optimal control of the treatment can be achieved by monitoring and controlling the temperature. Magnetic resonance imaging (MRI) can be used for both precise imaging and FUS targeting and real time monitoring of temperature making optimal use of these medical developments.

Development of this therapy significantly broadened the range of treatment options for patients suffering from uterine fibroids, offering an alternative therapy for the patients. In contrast to surgery, it requires only a short period of hospitalization and has a low complication rate
 
Utoaji wa myoma wakati wa c-section ni hatari.
Dawa ya myoma ni upasuaji tu.
 
Ninakushauri fata hii link: https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/868345-bure-fursa-ya-mwaka-pima-afya-yako-bure.html

Njoo kwenye kituo chetu kipya cha tiba utapimwa bure, utapewa ripoti yako ya vipimo bure na utapewa ushauri wa bure kuhusu afya yako na pia utapewa ushauri kama matatizo yako yanaweza kupatiwa dawa zinazoweza kuzuwia kuota na hata kuyeyusha fibroid zilizopo. Dawa namna hizo zipo na itategemea na matokeo ya vipimo baada ya kupimwa. Dawa unanunua hazitolewi bure.

Hauna cha kupoteza njoo upime bure. Ni kituo cha kimataifa kilichoanzishwa Tanzania (ni kipya Tanzania) na sasa hivi kuna offer ya kupima afya yako bure.
 
Habari za leo wanaJF.

Ningependa kujua zaidi kuhusu Fibroids (Masses zinazoota kwenye mfuko wa uzazi), madhara yake hasa yanayohusiana na mimba na tiba hasa za asili kama zipo.

Asanteni!
 
Nina tatizo kubwa la fibroid kwenye kizazi. Na fibroid ni kubwa, ina cm 12 kwa cm 10. Ninataka nifanye operation ya kuiondoa.

Naombeni ushauri nipate Dr mzuri. Na pia naomba faida na hasara za kuiondoa kwa operation. Ninataka kuiondoa haraka kwa sababu ninahitaji kubeba mimba . Yaani imenifanye tumbo liwe kubwa utadhani nina mimba ya week 20.

Naombeni ushauri wenu.
 
Pole dada yangu.

Fibroid ni anga za madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake. Kwangu daktari mzuri ni yule aliyefanya procedures nyingi katika eneo fulani. Bahati nzuri fibroid iko common sana kwa wanawake, na madaktari wengi wa magonjwa ya wanawake wamekuwa wakihudumia wagonjwa kama wewe mara kwa mara kwa kuzitoa kama wanachuma tunda mtini (myomectomy) au kutoa kizazi (hysterectomy).

Nakushauri uende hospitali kubwa uliyopo, ndipo umtafute daktari. Kuna umuhimu mkubwa kwenda hospitali kubwa kwa sababu huwa zina theatre nzuri, na pia backup staff in case kitu kibaya kisichotarajiwa kitatokea wakati wa operation yoyote.
Muhimu kujua uzuri wa daktari pekee haukamilishwi kama mazingira yake ya kazi ni hatarishi.
 
Back
Top Bottom