Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
Mkuu mimi sina mtaji, ila kama kuna tenda, tafadhari niajiri(DAR),
Vilevile sabuni zipo za aina nyingi hivyo utengenezaji na malighafi hutofautiana kidogo, kutokana na na aina unayohitaji!
SABUNI NGUMU
Sabuni hii inatumika kuondoa uchafu mgumu
Pima maji vipimo 5 ktk chombo cha plastik kikubwa
ongeza sodium hydroxide kipimo 1
acha mchanganyiko uchanganyike vizuri hadi uanze kupoa.
Ongeza mafuta vipimo 6 kwenye mchanganyiko wako huku ukikoroga bila kukoma hadi dakika 60.
Kabla sabuni haijawa ngumu sana, ongeza vipimo 2 vya kaolin iliyochekechwa vizuri kama kaolini haipatikani unaweza kutumia majivu ya kuni yaliyochekechwa vizuri
mimina sabuni kwenye kifyatulio(plastic) na baada ya kuganda ikate vipande kasha iweke sehemu safi ikauke taratibu hadi ndani ya wiki 12 sabuni itakuwa tayari kutumika.
Vipimo vyote ni kufuatana na idadi ya sabuni unayotaka na chombo unachopimia
Mfano unatumia kipimo cha Lt 1,
Utapima maji lt 5 sodium hydroxid lt 1 vivyohivyo kwa vipimo vikubwa!
TAHADHARI-
Sodium hydroxide {NaOH} ni hatari.
Lazima iwekwe mbali na mahali wanakofikia watoto.
*Kama mtoto atameza sodium hydroxide ni lazima apewe maziwa mengi au kikombe 1 cha mchanganyiko wa juisi ya limau/siki na vikombe 20 vya maji.
*Sodium hydroxide hushambulia ngozi, kuwa mwangalifu kila mara unapotengeneza sabuni, nawa mikono vizuri, hali ya unyevu katika hewa huibadili sodium hydroxide kuwa kimiminika hivyo ni rahisi kudhuru ngozi yako.
*Sodium hydroxide hushambulia aina zote za metali, hivyo tumia vyombo vya mfinyanzi hii itasaidia na kama vyombo vya mfinyanzi havipatikani tumia aina nyingine ya vyombo vya plastiki.
Ni lazima sodium hydroxide {NaOH} ihifadhiwe vizuri kwenye vyombo visivyopitisha hewa.
MAANA YA MANENO
Kaolin ni udongo mweupe wa mfinyanzi unaopatikana mtoni. katika Africa hutumika kupamba kuta za nyumba .
Sodium hydroxide NaOH ni kastiki.
Vilevile sabuni zipo za aina nyingi hivyo utengenezaji na malighafi hutofautiana kidogo, kutokana na na aina unayohitaji!
SABUNI NGUMU
Sabuni hii inatumika kuondoa uchafu mgumu
Pima maji vipimo 5 ktk chombo cha plastik kikubwa
ongeza sodium hydroxide kipimo 1
acha mchanganyiko uchanganyike vizuri hadi uanze kupoa.
Ongeza mafuta vipimo 6 kwenye mchanganyiko wako huku ukikoroga bila kukoma hadi dakika 60.
Kabla sabuni haijawa ngumu sana, ongeza vipimo 2 vya kaolin iliyochekechwa vizuri kama kaolini haipatikani unaweza kutumia majivu ya kuni yaliyochekechwa vizuri
mimina sabuni kwenye kifyatulio(plastic) na baada ya kuganda ikate vipande kasha iweke sehemu safi ikauke taratibu hadi ndani ya wiki 12 sabuni itakuwa tayari kutumika.
Vipimo vyote ni kufuatana na idadi ya sabuni unayotaka na chombo unachopimia
Mfano unatumia kipimo cha Lt 1,
Utapima maji lt 5 sodium hydroxid lt 1 vivyohivyo kwa vipimo vikubwa!
TAHADHARI-
Sodium hydroxide {NaOH} ni hatari.
Lazima iwekwe mbali na mahali wanakofikia watoto.
*Kama mtoto atameza sodium hydroxide ni lazima apewe maziwa mengi au kikombe 1 cha mchanganyiko wa juisi ya limau/siki na vikombe 20 vya maji.
*Sodium hydroxide hushambulia ngozi, kuwa mwangalifu kila mara unapotengeneza sabuni, nawa mikono vizuri, hali ya unyevu katika hewa huibadili sodium hydroxide kuwa kimiminika hivyo ni rahisi kudhuru ngozi yako.
*Sodium hydroxide hushambulia aina zote za metali, hivyo tumia vyombo vya mfinyanzi hii itasaidia na kama vyombo vya mfinyanzi havipatikani tumia aina nyingine ya vyombo vya plastiki.
Ni lazima sodium hydroxide {NaOH} ihifadhiwe vizuri kwenye vyombo visivyopitisha hewa.
MAANA YA MANENO
Kaolin ni udongo mweupe wa mfinyanzi unaopatikana mtoni. katika Africa hutumika kupamba kuta za nyumba .
Sodium hydroxide NaOH ni kastiki.