Mimi nashangazwa na uongozi wa Tanzania. Tatizo ni nini?
Tuna Gas. Bei yake ni nafuu, gesi ni safi kimazinira, inapatikana kwa wingi, ni rahisi kusafirisha.
Serikali inatakiwa kununua Generators za kutumia Gas na tatizo la umeme litaisha. Kama mmeshidwa kununua Generators za Dowans basi nunueni Generator zenu. Kama Tatizo ni pesa basi tuelezeni!!!!.
Kupiga doma na kuweka kamati nenda rudi na hakuna hata mtu mmoja anayefanya uamuzi kwa manufaa ya nchi.
Tanzania haijui nani anafanya uamuzi kama huu Raisi, Waziri Mkuu, Bunge, Tanesco au wizara ya nishati???.
Mimi natoa wito wa serikali kununua Generators moja kwa moja kutoka kiwandani kama Simens, GE, Toshiba, na Honeywell. Bei kila mtu ataiona kwa uwazi, watu wanaweza kupiga simu kuulizia na hakuna sababu ya Tender za kijinga zinazoleta skendo zisizo za maana kwa nchi. Kampuni zinazotengeneza Generators zinajulikana basi ni kwa nini tutumie Tender sysytem. Hili ni swala ambalo Tanzania inaweza kulitatua haraka tu kama kuna uongozi mzuri.
Tuna Gas. Bei yake ni nafuu, gesi ni safi kimazinira, inapatikana kwa wingi, ni rahisi kusafirisha.
Serikali inatakiwa kununua Generators za kutumia Gas na tatizo la umeme litaisha. Kama mmeshidwa kununua Generators za Dowans basi nunueni Generator zenu. Kama Tatizo ni pesa basi tuelezeni!!!!.
Kupiga doma na kuweka kamati nenda rudi na hakuna hata mtu mmoja anayefanya uamuzi kwa manufaa ya nchi.
Tanzania haijui nani anafanya uamuzi kama huu Raisi, Waziri Mkuu, Bunge, Tanesco au wizara ya nishati???.
Mimi natoa wito wa serikali kununua Generators moja kwa moja kutoka kiwandani kama Simens, GE, Toshiba, na Honeywell. Bei kila mtu ataiona kwa uwazi, watu wanaweza kupiga simu kuulizia na hakuna sababu ya Tender za kijinga zinazoleta skendo zisizo za maana kwa nchi. Kampuni zinazotengeneza Generators zinajulikana basi ni kwa nini tutumie Tender sysytem. Hili ni swala ambalo Tanzania inaweza kulitatua haraka tu kama kuna uongozi mzuri.