johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,022
- 142,063
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lissu amesema Mkapa na Shujaa Magufuli ni Wakatoliki wenzake lakini walipoliibia Taifa aliwasema.
Lissu amesema alimsema Kikwete ulipotokea Wizi wa Escrow siyo kwa sababu ya Uislam wake.
Lissu amesisitiza hawa Watu wanapokuibia hawajali Wewe unasali wapi, they don't care!
Source: Mkutanoni Kagera
Pia soma: Tundu Lissu: Hakuna Rais kwenye nchi hii amewahi kutufanyia kitu mbaya kama Rais Samia
Lissu amesema alimsema Kikwete ulipotokea Wizi wa Escrow siyo kwa sababu ya Uislam wake.
Lissu amesisitiza hawa Watu wanapokuibia hawajali Wewe unasali wapi, they don't care!
Source: Mkutanoni Kagera
Pia soma: Tundu Lissu: Hakuna Rais kwenye nchi hii amewahi kutufanyia kitu mbaya kama Rais Samia