fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,030
Mwanaume hana haki ya kudai mahari....Kwanza yeye mwenyewe ana makosa vipi mke wako awe na mpenzi nje kama wewe huna kasoro?Mahari atarudishiwa
Lazima kuna kitu flani yule mke wake anakikosa ndo kafata kwa boss.
Inawezekana mme hajamhudimia mke wake vizuri-ki pesa au unajua kuna mambo mengi hapo sio lazima niyaseme.
Mwanaume anaye omba mahari si mwanaume-mimi ndo naona vile, mana ya uwanaume sio kufanya sex tu na mke wako...Kuna mambo mengi ndugu yangu....Mwanaume lazima awe na aibu ya kuomba sasa anapo omba mahari nikama vile anajidhalilisha.
Yanini aombe mahari na mwanamke ameisha mtumia....Huoni hapo kama huyo mwanaume atakuwa ni mjinga.
Hapo wacha achukue kona kiutaratibu ili huyo ex wife an ex boss wazidi kumsaidia akikwama siku za mbele hahaha.