Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Serikali inadai kuwa tarehe 9 Dec kutakuwa na maadhimisho ya 50 ya uhuru wa Tanzania,
Maswal yenye utata ni haya:
1:Je Tanzania ilitawaliwa na nani before huo uhuru?
2:Je Tanzania ilipata lini uhuru?
3:Ni nani alileta uhuru wa Tanzania?
Katika pekuapekua zangu sijaona sehemu ambayo imeandikwa kuwa Tanzania ilipata uhuru badala yake nimeona kuwa ni Tanganyika ndo ilipata uhuru..
Wadau tujuzane ni lipi jina stahili katika kusherekea huo uhuru wa miaka 50.
Nawasilisha.
Maswal yenye utata ni haya:
1:Je Tanzania ilitawaliwa na nani before huo uhuru?
2:Je Tanzania ilipata lini uhuru?
3:Ni nani alileta uhuru wa Tanzania?
Katika pekuapekua zangu sijaona sehemu ambayo imeandikwa kuwa Tanzania ilipata uhuru badala yake nimeona kuwa ni Tanganyika ndo ilipata uhuru..
Wadau tujuzane ni lipi jina stahili katika kusherekea huo uhuru wa miaka 50.
Nawasilisha.