Wana JF,
Sijui ni ipi tarehe sahihi ya tukio tajwa hapo juu hasa baada ya kupata taarifa mbili tofauti kutoka serikalini!
Wakati akiahirisha Bunge lililomalizika hivi karibuni, Waziri mkuu Mizengo Pinda alitangaza kwamba siku ya sensa ni tarehe 26/8. Vyombo vya habari mbalimbali vimekuwa vikitangaza tarehe hii pia!!
Naye Mheshimiwa Rais wa JMT alipokuwa akiwahutubia wafanyakazi katika maadhimisho ya Mei mosi huko Tanga alitangaza kwamba siku ya sensa ni tarehe 26/12!!! Skiliza hapa dakika ya 49:30 mpaka 50:10 moja kwa moja maana hotuba ni ndefu!! Sikiliza hapa: swahilivilla: Sikiliza kwa makini Rekodi ya Audio: Hotuba ya Rais Kikwete ya "Mei Mosi" 2012 Mkoa wa Tanga
Naomba tusaidiane kuondoa utata huu!!!
Sijui ni ipi tarehe sahihi ya tukio tajwa hapo juu hasa baada ya kupata taarifa mbili tofauti kutoka serikalini!
Wakati akiahirisha Bunge lililomalizika hivi karibuni, Waziri mkuu Mizengo Pinda alitangaza kwamba siku ya sensa ni tarehe 26/8. Vyombo vya habari mbalimbali vimekuwa vikitangaza tarehe hii pia!!
Naye Mheshimiwa Rais wa JMT alipokuwa akiwahutubia wafanyakazi katika maadhimisho ya Mei mosi huko Tanga alitangaza kwamba siku ya sensa ni tarehe 26/12!!! Skiliza hapa dakika ya 49:30 mpaka 50:10 moja kwa moja maana hotuba ni ndefu!! Sikiliza hapa: swahilivilla: Sikiliza kwa makini Rekodi ya Audio: Hotuba ya Rais Kikwete ya "Mei Mosi" 2012 Mkoa wa Tanga
Naomba tusaidiane kuondoa utata huu!!!