UTATA: Fedha za mtu aliyekufa zilizopo kwenye benki au simu hupotelea wapi?

Atakaye kuwa na simu ya marehemu!
Mbona ni kitu rahisi sana jamani!
 
Kama mteja anapoteza simu tu ndani ya masaa 24 unambiwa pesa zimeshatolewa. Naona kwa issue ya marehemu ni changamoto sana. Maana juzi tu jamaa yangu kaibiwa simu 2 kariako usiku ilivyofika asubuh kwnd kwa makampun ya simu anaambiwa pesa zimeshatolewa. Wamejuaje namba za sir simu zote 2 kwa wakati mmoja sijui. Kimsingi simu si sehem salama kuhifadh pesa likitokea tatizo hawan ushirikian km bank.
 
Chukulia kwa mfano ni wewe alafu mie hata haunijui na unahifadhia pesa zangu mingi exmp 1,60,000,000. Ikitokea siku ukahisi kuwa nimekufa na hakuna ndugu yangu wala jamaa yangu yeyote yule aliye kuwa akijua mchongo wetu na una dhiki sana wakati huo je nini kitakutokea?. Ukisikia kutiana ujinga ndo huku unakoleta mtoa mada.
 
Simu si sehemu salama kwa kutunza pesa.
Janja janja ni nyingi mno. Hasa unapopatwa na tatizo, msaada ni mdogo sana.
 
Simu sio pahala pa kutunzia fedha Bali bank.
Kwa sheria na taratibu zilizopo hizo fedha zikizidi muda Fulani zinapelekwa BOT.
Kila mtu anatamani haifadhi fedha zake bank lkn bank siyo sehemu salama kuhifadhi fedha kwa mtu mwenye kipato kidogo.
Ukiweka fedha 80,000 bank na 80,000 mpesa/tigo/airtel kwa mwaka.
Mpesa/tigo/airtel money utaikuta vile vile lkn bank utaikuta 50,0000
N.B
Watu wanaweka pesa kwenye mitandao ya simu kwasbb ya uwepesi wake na mtu yyte anaweza kutoa pesa popote pale na haina gharama kujisajili. Bank mpaka uwe na 20,000 ndiyo ufunguliwe account.
 
Mimi navyojua mtu akifa, survivor wake ndio wanafanya mpango wa application ya probate kama kuna will au letter of administration kama hakuna wosia, huyo anaeteuliwa na mahakama kusimamia mirathi ndo mwenye jukumu la kufuatilia hizo accounts including za Mpesa Tgo pesa nk
Kama hakuna aliefatilia basi.
 
Mimi navojua mtu akifa, survivor wake ndo wanafanya mpango wa application ya probate kama kuna will au letter of administration kama hakuna wosia, huyo anaeteuliwa na mahakama kusimamia mirath ndo mwenye jukum la kufuatilia hizo accounts including za Mpesa Tgo pesa nk
Kama hakuna aliefatilia basi.
Kuna watu wanaweka pesa kisisiri bila watu wengine kujua hawa pesa zao zinachukuliwa.
 
Hongera mtoa mada, hapa ndipo unapoona jinsi gani? Watu wetu wenye mamlaka wasivyowajibika dhidi yetu ipasavyo.

Huo ni mfano mmoja katika mingi, jiulize wananchi wangapi? Wanaofahamu au kusaidiwa juu ya ajali zinapotokea kupata malipo ya BIMA.lkn msukumo upo kwa vyombo vya moto kukata Bima ambayo haimsaidii mwananchi wa kawaida anapoathirika.

Mada husika kwann? Makampuni ya Simu yasiwe na utaratibu wa kutoa majina kwenye magazeti kwa zile no walizozifungia kwa kukosa muendelezo wa mawasiliano kwa hiyo miezi 6 huku wakiita wito wa muhusika au ndg wafike kwa ajili ya kufuatilia amana zao.

Mambo ni mengi yanayoweza kumtokea MTU mwenye amana kwenye mitandao kiasi asiweze kukumbuka lolote.

Jamii isimamiwe kutopoteza haki ya mwananchi kwa vyovyote.
 
Wabongo kwa lawama,kila kitu kiko under control.....niliona jamaa angu akipewa laki 5 za marehemu.Makampuni yote yameainishiwa taratibu za kufuata pindi mteja wao anapofariki(BOT)
Anayelaumu hapa ni wewe. Mwanzisha mada kauliza swali, hajalaumu...wewe umekurupuka porini huko ulikokuwa unachafua mazingira unakuja kuwalaumu wabongo.

Nenda kwanza ukanawe
 
Kama mteja anapoteza simu tu ndani ya masaa 24 unambiwa pesa zimeshatolewa. Naona kwa issue ya marehemu ni changamoto sana. Maana juzi tu jamaa yangu kaibiwa simu 2 kariako usiku ilivyofika asubuh kwnd kwa makampun ya simu anaambiwa pesa zimeshatolewa. Wamejuaje namba za sir simu zote 2 kwa wakati mmoja sijui. Kimsingi simu si sehem salama kuhifadh pesa likitokea tatizo hawan ushirikian km bank.
Kuna wafanyakazi sio waaminifu husaidiana na wahalifu kutoa pesa za wateja hasa kwenye line zinazookotwa
 
MPESA, AIRTEL MONEY, TIGO MPESA...... ENDAPO NIMETUNZA HADI MILIONI MOJA AU HATA MBILI. NIKAPATA AJALI, NIKAFA, SIKUTOA PASSWORD YANGU KWA MKE WANGU AU NDUGU YEYOTE.
NDO INAKUWA IMEPOTEA AU MENEJIMENT YA MITANDAO WANATAFUTA NDUGU. HEBU TUFAHAMISHANE HAPA
 
Back
Top Bottom