Kutokana na Taratibu Zinazo Tegemea Kuunda Tume ya Katiba, Zanzibar Wasipewe Effluence Kubwa Kama Bara. Jambo la Kwanza Zanzibar Wanaserikali Yao Wenyewe na Katiba Yao:
EISA Zanzibar: Constitution
The Tanzania National Website
Pili Wananchi Tunafahamu Population ya Zanzibar ni Wananchi 981,754. Sisi Wabara Population Yetu ni Wananchi 43millioni. Sijui Kama Kuna Usawa Wowote Ule wa Kuwapa Zanzibar Sauti Kubwa Katika Tume na Uundwaji wa Katiba. Kitu Muhimu Hapa ni Kuangalia Sana CUF-Visiwani na CUF-Bara Watakapo Jaribu Kutafuta Uhalali wa Kuharibu Hii Dialog ya Katiba. Wananchi Tujitahidi Sana Kumkwepa Jk na CCM Katika Njama ya Kutaka Kuwapa Sauti Visiwani na Kuiingiza CUF Katika Tume Kama Wawakilishi wa Tume ya Katiba. Ndoa ya Sharif, CUF-Visiwani na CCM Sasa Tutaona Watachakachuana Vipi Katika Swala la Katiba. Kitu Kingine ni Kuangalia Jinsi CCM Inataka Kumanipulate Bunge Letu Dodoma kwa Kuwapandisha CUF Juu ya Chadema. Wananchi Tuwe Macho na Vita Ndio Vimeanza na Hakuna Kuruhusu CCM Manipulations Kwa Sababu Tumeshawaona Jinsi Gani Walivyo Wabaya kwa Taifa Letu. CUF-Visiwani Piganieni Katiba Yenu Si Mmeshinda Visiwani Pia?
"Tujiandae na Kila Njia ya Kutaka Kuwarubuni na Kuleta Usanii Katika Kuunda Katiba"
EISA Zanzibar: Constitution
The Tanzania National Website
Pili Wananchi Tunafahamu Population ya Zanzibar ni Wananchi 981,754. Sisi Wabara Population Yetu ni Wananchi 43millioni. Sijui Kama Kuna Usawa Wowote Ule wa Kuwapa Zanzibar Sauti Kubwa Katika Tume na Uundwaji wa Katiba. Kitu Muhimu Hapa ni Kuangalia Sana CUF-Visiwani na CUF-Bara Watakapo Jaribu Kutafuta Uhalali wa Kuharibu Hii Dialog ya Katiba. Wananchi Tujitahidi Sana Kumkwepa Jk na CCM Katika Njama ya Kutaka Kuwapa Sauti Visiwani na Kuiingiza CUF Katika Tume Kama Wawakilishi wa Tume ya Katiba. Ndoa ya Sharif, CUF-Visiwani na CCM Sasa Tutaona Watachakachuana Vipi Katika Swala la Katiba. Kitu Kingine ni Kuangalia Jinsi CCM Inataka Kumanipulate Bunge Letu Dodoma kwa Kuwapandisha CUF Juu ya Chadema. Wananchi Tuwe Macho na Vita Ndio Vimeanza na Hakuna Kuruhusu CCM Manipulations Kwa Sababu Tumeshawaona Jinsi Gani Walivyo Wabaya kwa Taifa Letu. CUF-Visiwani Piganieni Katiba Yenu Si Mmeshinda Visiwani Pia?
"Tujiandae na Kila Njia ya Kutaka Kuwarubuni na Kuleta Usanii Katika Kuunda Katiba"