verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 2,836
- 5,753
Ohoo basi hii hatariSiku hizi kupima ni lazima tena siyo hiyari kama zamani,ukienda hospitali ya serikali kupima hata maralia lazima wakupime ukimwi,wakikuta signal zinasoma,unabebwa msobe msobe hadi kwenye ushauri nasaha,yaani kibabe tu!sasa wewe kaa hivyo hivyo