Utaratibu wa Kufungua Shule (elementary and Secondary Level)

Njoka Ereguu

JF-Expert Member
Apr 7, 2012
821
335
Naombeni mwenye kufahamu utaratibu wa kuanzisha shule Tanzania kwa foreigners unakuwaje. Nahitaji kufahamu mwekezaji anahitaji kuwa na vitu gani ie land, capital, etc na utaratibu wa jumla.
 
Back
Top Bottom