Miaka ya nyuma jeshi la polisi lilikuwa linawaleta wahalifu mbele ya televisheni. Jambo hili nililipenda sana maana ile ni adhabu tosha kuliko hata kumuweka mhalifu gerezani ambapo Serikali itagharimika kumtunza.
Kwa nini utaratibu uliondolewa kwa kisingizio cha kukiukwa haki za binadamu?
Nonsense in my opinion!
Kwa nini utaratibu uliondolewa kwa kisingizio cha kukiukwa haki za binadamu?
Nonsense in my opinion!