Utaratibu na gharama za kupima vinasaba (DNA) Tanzania

sawa mkuu, vp hakuna sehem nyingine ya kupimwa DNA? tofauti na dar? vp kama mwanamke anang'ang'ania mimba ni yako na co yako 100% DNA haiwezi husika hapa kwenye mimba?
 
Kuna medical ethics ambapo hata kama dna hazifanani huyo baba ataambiwa ni wa kwake ili kulinda haki ya malezi ya mtoto. Ndo maana hata kunapogambaniwa mtoto baba mwenye uwezo kifedha ndio huwa anapewa mtoto. Nadhani nimeeleweka.

Ingekuwa hivyo hata mkienda kupima ukimwi wangekuwa wanasema wote hamna ili kulinda familia isisambaratike...sidhani kama unachosema ni kweli kwasababu DNA is very expensive, wasingeruhusu watu waspend pesa for useless, hukumbuki walitoa data kwamba nusu ya wanaoenda kupima wamebambikiwa, sasa wale ilikuwaje wakapewa majibu yale kama wote huwa wanapewa majibu mazuri kulinda familia?
 
Mapenzi yamefutika kabisaaaa. Sijawahi mcheat. Mtoto katokea mweupe yeye na wifi zangu wanasema changa la macho. I just want to show them they are wrong na wakati huo ndo bye bye naendelea naaisha yangu. We live only once ya nini kukaa na watu wanaokera.

Go to the court of law and file a suit kwamba baba anakataa mtoto ukiwa na wakili wako moja ya maombi kwa mahakama iwe ni kuruhus vipimo vya DNA then procedure ziendelee.
Hayo mambo yapo, nusura nilee mtoto mtu nashukur sana mama yangu mzazi alikua wa kwanza kukataa kuliko mimi muhusika na alikua sahihi. Nyie wanawake som tym watu wabaya sana ila basi mlituzaa tunawapa heshima zenu.
MullaX
 
Go to the court of law and file a suit kwamba baba anakataa mtoto ukiwa na wakili wako moja ya maombi kwa mahakama iwe ni kuruhus vipimo vya DNA then procedure ziendelee.
Hayo mambo yapo, nusura nilee mtoto mtu nashukur sana mama yangu mzazi alikua wa kwanza kukataa kuliko mimi muhusika na alikua sahihi. Nyie wanawake som tym watu wabaya sana ila basi mlituzaa tunawapa heshima zenu.
MullaX

Mkuu Nimekuwa interested na hii case yako.

Ulianza kwa lawyer direct bila kushirikisha ustawi wa jamii? Na uliwezaje kumfanya huyo mama wa mtoto akubali kupima? Maana najua kwa mazingira kama hayo Mara nyingi huwa wanakataa au kutoleta ushirikiano
 
Mtoto ni wako. Wala usijisumbue na DNA. Lea mwanao. Msomeshe vizuri. Siku akitokelezea kama diamond ndo wataanza kujigonga.
 
Hakuna hospital ya private au goverment inayopima DNA hapa Tz. Hiyo huduma inatolewa Kwa Mkemia Mkuu wa Serikali pale karibu na hospital ya ocean road. Kuna mambo mengi ya kimaadili (ethical issues) yanatakiwa kuzingatiwa kabla ya kipimo. DNA unaweza kumpima mtu,ukapata siri ya ndugu mwingine ambaye hakutoa consent ya mambo yake kujulikana. Mfano rahisi ni wamarekani walivyopima DNA ya dada yake osama ikawasaidia kujua DNA ya Osama na baadae wakatumia watoto ku confirm alipo obama.Hii technology lazima ithibitiwe Kwa sababu mfano unaweza kujua Siri za ukoo wa mke wako au ndugu zako bila idhini yao mfano uwezekana mkubwa wa kupata magonjwa ya kurithi n.k.

RUBISH!

Partenity test ni muhimu sana kama kunatokea utata wa uzazi, hayo mambo ya kiusalama unaleta wewe tu, kama kawaida yetu bongo, kuficha kila kitu kwa visingizio vya usalama, tukitaka kusoma au kuona mikataba ya rasilimali ya nchi wanadai haiwezekani kisa sababu za kiusalama, kila kitu cha uwazi wanaleta visingizio hivyo hivyo, kumbe kisa ni UFISADI TU..
 
sawa mkuu, vp hakuna sehem nyingine ya kupimwa DNA? tofauti na dar? vp kama mwanamke anang'ang'ania mimba ni yako na co yako 100% DNA haiwezi husika hapa kwenye mimba?

Hapa ndipo napowashangaaga wanaume.
Inakuaje uone raha kudinyana na mwanamke peku ila mimba unakataa?
Kama ulijua ana wengine ulipataje ujasiri wa ku do nae?
Na akikuambia umempa VVU mtaenda kupima DNA?
 
Go to the court of law and file a suit kwamba baba anakataa mtoto ukiwa na wakili wako moja ya maombi kwa mahakama iwe ni kuruhus vipimo vya DNA then procedure ziendelee.
Hayo mambo yapo, nusura nilee mtoto mtu nashukur sana mama yangu mzazi alikua wa kwanza kukataa kuliko mimi muhusika na alikua sahihi. Nyie wanawake som tym watu wabaya sana ila basi mlituzaa tunawapa heshima zenu.
MullaX
Mkuu embu tupe uzoefu.kuna watu wanasema kila anaepima anaambiwa mtoto ni wako ili kuepusha wingi wa watoto wa mitaani..je kuna ukweli wa hili?
 
Thread hii ni nzuri sana nadhani itakuwa MKOMBOZI kwenye masuala yetu haya ya maisha.
Cha muhimu ni kulea tu Mtoto maana kumbuka huyo mnayemsema yaani Mtoto hajui lolote mnalovutania
 
Mimi ndo mke mwenyewe, mwanaume anamkataa mtoto. Nataka nikate mzizi wa fitna as soon as possible.

Kwani lazma amkubali? We huwezi kulea? Je hata ikigundulika ni wake unadhani atakuwa responsible father? Kama unao uwezo wa kugharamia kipimo cha vinasaba ina maana unao uwezo wa kumlea mtoto. Au huyo jamaa anaelekea ukingoni so unataka uweke sawa mamabo ili usizinguliwe kwenye mgao?
 
ASANTENI SANA KWANI MAMBO KAMA HAYA YANATAKIWA KUWEKWA WAZI ILA UNATAKIWA UWE NA MAAMUZI YA BUSARA MUNGU AWABsARIKI[/color}
 
Haturusu kupima DNA mpaka kwa amri ya mahakama, yani chanzo kiwe mwanaume huyu na mwanaume yule wanagombea mtoto, lakini sio ugomvi wa mke na mume, sijui sifanani nae, Mungu alimuumba mwanadamu kila mtu na sura yake.

Na sera yetu kama serikali ni kupunguza machokoraa mitaani, hivyo kuruhusu DNA hovyo ni kuruhusu ongezeko la chokaraa, hivyo tutumie tu kauli ya kitanda hakizai haramu, kama kuna mtu amekusaidia kukuzalishia mshukuru maana nayo ni kazi ngumu.
 
Haturusu kupima DNA mpaka kwa amri ya mahakama, yani chanzo kiwe mwanaume huyu na mwanaume yule wanagombea mtoto, lakini sio ugomvi wa mke na mume, sijui sifanani nae, Mungu alimuumba mwanadamu kila mtu na sura yake.

Na sera yetu kama serikali ni kupunguza machokoraa mitaani, hivyo kuruhusu DNA hovyo ni kuruhusu ongezeko la chokaraa, hivyo tutumie tu kauli ya kitanda hakizai haramu, kama kuna mtu amekusaidia kukuzalishia mshukuru maana nayo ni kazi ngumu.

Wanawake wa siku hizi wamekuwa na tabia ya kuwa na wanaume wengi. Kupunguza machokoraa inapaswa wanawake wawe chachu ya mabadiliko. Wengine wapo kwenye ndoa lakini hawaheshimu ndoa zao na kuanza kuhangaika.
 
Back
Top Bottom