Utapeli na wizi wa 'showroom' za magari DSM

Eti mtu unakuta gari ya mwaka 2001 halafu imetembea km46,000! Ukiiangalia gari yenyewe imechoooka...!
 
Umenikumbusha mbali. Pale mazrui wako wawili mmoja anaitwa Abdallah huyu fix sana na kaka yake mmoja mnene sana sala tano. Anae wapotezea umaarufu ni yule mtu wao aanaekwenda kulipia ushuru kazitamu. kijamaa kifupi kibushuti hhivi kinene kichwa chake ni bustani fulani ya nywele ttu hakina kazi nyingine.
 
Suala la kupunguza mileage nadhani lipo hadi Japan. Wanaweza wakakudanganya kuwa gari imetembea kwa mile kadhaa kumbe si kweli. Mfano mimi mwaka juzi niliagiza Xtrail ya wife. Wao walisema imetembea km 70,000. Lakini ilipofika documents za ukaguzi zilionesha imetembea km 170,000 ingawa kwenye dashboard ilionesha hizo walizodai wao!!!
 
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!

Mbona hujaja hapa kutueleza nini kilitokea baada ya kuwasiliana na Mwanasheria wako?
 
Suala la kupunguza mileage nadhani lipo hadi Japan. Wanaweza wakakudanganya kuwa gari imetembea kwa mile kadhaa kumbe si kweli. Mfano mimi mwaka juzi niliagiza Xtrail ya wife. Wao walisema imetembea km 70,000. Lakini ilipofika documents za ukaguzi zilionesha imetembea km 170,000 ingawa kwenye dashboard ilionesha hizo walizodai wao!!!

Xtrail ya Wife.....hahahaaa. Wewe unatembelea Benzi nini?
 
Hivi karibuni nikiwa nipo Tanzania kwa mapumziko mafupi,niliamua kuuza gari langu kuukuu nililoliagiza kutoka Japan miaka kadhaa iliyopita.Kwa kuwa muda wa mapumziko yangu ulikuwa mfupi sana nikaona nitafute gari mbadala kutoka kwenye "showroom" za hapo Dsm. Nikaamua kununua gari kwa "MAZRUI COMISSIONING AGENT" maeneo ya Kijitonyama.Jamaa ni WEZI,MATAPELI na WANAFIKI ingawa wanajidai ni wachamungu sana. Makubaliano yalikuwa wao wangeshughulikia mambo yote ya usajili TRA na ndani ya siku nne kila wangekuwa wameshamaliza kila kitu. Sikuamini imechukua zaidi ya mwezi gari kusajiliwa!! Hakuna sababu ya msingi wanayotoa zaidi ya porojo na uongo,cha kusikitisha ni pale usajili ulipokamilika,wakakabidhi faili lenye nyaraka zote zinazohusiana na hilo gari,kijana wangu alipokuwa anakagua nyaraka akashangaa kukuta tofauti ya mailage (kms),wakati gari inaonyesha imetembea kms.52,000,nyaraka za ukaguzi huko Japan zinaonyesha gari hiyohiyo ilikaguliwa April 2008 likiwa limetembea kms 131,000.Ina maana kuna usanii wa kuchezea mailage ili mteja uamini umenunua gari lililokwenda kms chache kumbe hali halisi ni tofauti!Nikiwa nawasiliana na mwanasheria ili niwafungulie kesi,nimeona si vibaya nikiwatahadharisha wananchi wenzangu na huu utapeli/wizi wa kimachomacho.Naomba tusambaze ujumbe huu kwa watu wengi ili wote tuwe makini.MAZRUI NI WEZI!!!

Kiongozi tunakushukuru kwa taarifa hasa hapo kwenye km
 
Xtrail ya Wife.....hahahaaa. Wewe unatembelea Benzi nini?

Mkuu JIBWA natembelea gari kubwa sana kwa wengi. Lakini pia wako wanaotembelea gari kubwa zaidi ya hii.
 
Last edited by a moderator:
Don't know who to trust.
Nimesikitika kuwa hata hayo makampuni hudanganya kuhusu mileage
 
Napenda kuwambia watz wanao nunua magari japan au dubai kuwa waangalifu. Lakni zaidi hWa wajapan na waarabu wanauza magari kwa bei ghali sana kulinganisha na mileage mfano mtu ananunua 130K kwa bei ya karibu na mpya. Wafrica tuache ujinga maana hizi bei zinakuwa determined na demand.


The king.
 
hahaa.....hata ukitaka spear za gar yako we toa kuku yako/iliokufa. .e.g coil spring wapelekee show rom watabandika kwenye gari inayouzwa wewe wanakutolea mpya. na huu mchezo unachezwa na vijana wanaosafisha magari.
 
Kama unataka kununua gari Usipate shida ya kwenda kote huko. Nchini Uganda kuna Yard nyingi sana zinazouza magari yaliyotumika kama Dubai tena kwa gharama kama ya Dubai au tofauti kidogo tu.
Kwa wajanja waliokwisha jua huwa hawaendi tena mbali huko bali wanakwenda Uganda na unachagua gari yako na kuja kuilipia tax na duty kisha unakuja unaendesha nyumbani.
Epukana na matapeli wa Dar hao.

Ni kweli kwa uganda wale jamaa wako vizuri hakuna longolongo kabisa, ili mradi uandae ela ya ushuru pale mutukula boarder
 
Hain haja ya kwenda Japan wala Dubai.
Tatizo la sie wanunuzi ni kwamba ubahilini mwingi sana.

Kuna Mafundi mahodari na wazuri sana wa magari,ila mtu unaona tabu Kumpa Laki moja umuondoe kazini kwake ili mkaikague gari.
Matokeo yake ukiishanunua ndio unamfuata fundi,we unafikria atakushauri vipi.

Zanzibar Bado wanafanya vizuri sana kwenye uaminifu wa magari na ndio maan amtu anaona kama gari inauzwa Dar milioni 6 na Zanzibar inamcost 6.5 anaona bora je Zanzibar.
 
Back
Top Bottom