Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 38
Jamani we need not to generalize. Huduma za ATM katika nchi nyingi za ulaya ni bure endapo unachukua pesa kwenye ATM ya banker wako. Ukichukua pesa kutoka kwenye ATM ya benki tofauti (Nchi nyingi za ulaya ATM zinaingiliana na unaweza kuchukua pesa kutoka ATM inayomilikiwa na benki yoyote) then kuna charge ya Euro 1 na wanakutahadharisha kabisa kabla haujaendelea kuchukua hiyo hela kwamba kutakuwa na charges.
Kwa hiyo wanaosema huduma ya ATM sio bure inategemea wanazungumzia ATM za wapi!!!!
Tiba
Acheni hizo, jaribu kufanya research mjue hapo mwanzo wakati ATM zinaingia mambo yalikuwaje?????????
Sometimes kinachotokea kwetu na huko mnakotaka tufanane nako inategemea na level ya competition na kama hao jamaa wameisharudisha garama zao za KUSIMIKA hizo ATM, THERE MUST BE some reasons!!!!!!!