Hivi mmekwisha note utapeli katika benki hii hasa katika charges wanazotoza kwa wateja hasa wenye kadi za VISA.
ukitaka kujua wizi huu,jaribu kuomba taarifa fupi ya account yako utashangaa kuona yafuatayo
ATM charge.........350/=
ATM Monthly Charge......350/=
ATM Widhraw charge.......350/=
Monthly Charge.............500/=
Na kuendelea .......................................................
Hivi hizi charge zipo kwenye bank nyingine,kwa mtazamo wa haraka hara unaweza kudhani ni fedha kidogo lakini ni kubwa sana kwani kwa mwezi wanalamba karibu 4,000 kwa mteja mmoja.
AU ndiyo gharama ya kuitunza fedha zetu
ukitaka kujua wizi huu,jaribu kuomba taarifa fupi ya account yako utashangaa kuona yafuatayo
ATM charge.........350/=
ATM Monthly Charge......350/=
ATM Widhraw charge.......350/=
Monthly Charge.............500/=
Na kuendelea .......................................................
Hivi hizi charge zipo kwenye bank nyingine,kwa mtazamo wa haraka hara unaweza kudhani ni fedha kidogo lakini ni kubwa sana kwani kwa mwezi wanalamba karibu 4,000 kwa mteja mmoja.
AU ndiyo gharama ya kuitunza fedha zetu