TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Katika Pitapita yangu huko kwa wataalumu wa Utani, nimemsikia mtaalamu wa kutania watu wa "Bwagamoyo" anasema kuwa JK kamueleza kuwa kutokana na kashi kashi za uandaaji wa Katiba mpya, uvuaji gamba ni bora kuwaleta kwa sasa Real Madrid kabla ya uchaguzi wa ndani ya ((^^! Na Kwa kuwa sasa hivi Real madread wamechukuwa kombe na wana the Special One(Josse) basi mara moja raia watatuliza munkari waliona kwa sasa. Na hii itasaidia kuwaunganisha wana((^^ kwenye uchaguzi.